Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Inategemea na level ya ujasiliamali. Machinga ni hatari lakini mjasiriamali kama Dangote atafuja mali ipi kwa mfano. Level ya Mbowe sio machinga, ile level kama yako unajijua ni shidana hataondoka atafia humo kwa kuogopa mambo kama hayo.huwezi kuwa mjasiriamali na ukaongoza chama.hapo uje tu ni lazima mali za chama zitakwapuliwa.