Ni jamΓ a mmoja anaewajulia sana wanaume wa daslamu na viunga vyake.....anawakaangia chips tamu, na broiler bila kusahau chachandu mayonaizi na ukwajuSasa mbona sisi wa huku vijijini hatuna taarifa za kutosha kuhusu huyo Sele Bonge!! Ni nani huyo huko kwenu Darisalama?
Maana watu wa Dar hamna dogo.
Kuwa makini na ushangaaji wako.Utaanguka.ππππ