BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limemkamata Seleman Kalembo, maarufu kama Sele Bonge na wenzake 9 kwa tuhuma za wizi na kuwakuta wakiwa na gari aina ya Noah vifaa mbalimbali vya kuvunjia nyumba, TV nne pamoja na mfuko wa kufichia TV baada ya kuiba.
Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam ACP Wiliam Mkonda, amesema jeshi hilo liliendesha operesheni kali baada ya nyumba nane kuvamiwa na kuibiwa vitu maeneo ya Kinyerezi, Kibaga usiku wa kuamkia Septemba 6, mwaka huu.
Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam ACP Wiliam Mkonda, amesema jeshi hilo liliendesha operesheni kali baada ya nyumba nane kuvamiwa na kuibiwa vitu maeneo ya Kinyerezi, Kibaga usiku wa kuamkia Septemba 6, mwaka huu.