Wizara imekufa miaka kumi iliyopita lakini hilo hupaswi kushangaa wizara zote madudu yale yale watu wanaofanya madudu ni wale wale wanahamishwa wizara na ofisi unategemea nini na bado kujikomboa na hili ni kudelete ccm na wadau wake kwenye siasa ya nchi yetu
... Hapo dawa na wao waende wavae sketi tu maana tumechoka hatuna namna nyingine ya kuwasaidiaaaaa.
Mkuuu toaa mfanoo wa shulee za girls walizo pangiwaaa wavulanaa.....ilii wataalam waweze ku fix coz nathan watumishi wahiyo sector wapo humuu..
Ila kweli mm na shidwa elewa izi post Nime Fanya vizuri masomo ya sanyansi hasa chemia na bios lakini nime chaguliwa HGK histori nine Fanya vizuri pia ila mpaka walim wananionea huruma kwani kiswahili c kuwa naweza kabisa
mmhhh ni kazi