KIBARAone
JF-Expert Member
- Mar 26, 2015
- 642
- 243
- Thread starter
- #21
Wizara imekufa miaka kumi iliyopita lakini hilo hupaswi kushangaa wizara zote madudu yale yale watu wanaofanya madudu ni wale wale wanahamishwa wizara na ofisi unategemea nini na bado kujikomboa na hili ni kudelete ccm na wadau wake kwenye siasa ya nchi yetu
... Ni kudelete totally