AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Jamiiforums!
Hii habari nimeiskia kutoka kwa mmoja wa Head master wa shule moja ya private (Jina kapuni) hapa mkoani Mbeya, Hivyo kutokana na upungufu wa wanafunzi wenye ufahulu wa 4M4 mwaka huu watachukua wanafunzi wenye C mbili na D pass 3 ambapo tofauti na miaka iliyopita ambapo walikuwa wakichukua wanafunzi wenye C tatu na D pass 3.
Sarakasi zimeanza.
Hii habari nimeiskia kutoka kwa mmoja wa Head master wa shule moja ya private (Jina kapuni) hapa mkoani Mbeya, Hivyo kutokana na upungufu wa wanafunzi wenye ufahulu wa 4M4 mwaka huu watachukua wanafunzi wenye C mbili na D pass 3 ambapo tofauti na miaka iliyopita ambapo walikuwa wakichukua wanafunzi wenye C tatu na D pass 3.
Sarakasi zimeanza.