Vipi wewe ulikula one?Oya Mimi naelewa ninachokisema usinione km nabwabwaja naelewa kila kitu ndio maana nasema mwanafunzi kipindi hiki asipokula one ni uzembe wake na akilamba zero basi huyo ni zaidi ya zero
[emoji23] kuna mzazi kamwambia mwanae akikosa nafasi muhimbili basi akatafute nyumba ya kuishi, nilicheka sn kwa huzuni na kwakushtushwa snMzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.
Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.
MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking
MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas
University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.
Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.
Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.
Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Acha uongo ww😅😅DDS ndo Course pekeee level ya degree yenye Sokooo kubwaa kwa sasa kwa Kada ya afyaa hizi zingine pagumu sanaa
HongeraThanx God nimechaguliwa Muhas DDS
Hongera
Jiandae sasa⚠️
Filimbi ikipulizwa hapo moto unaanza haupoi hadi mwaka unaisha😅😅
Asante mkuu, nishayavulia maji, acha niyaoge.Hongera
Jiandae sasa⚠️
Filimbi ikipulizwa hapo moto unaanza haupoi hadi mwaka unaisha😅😅
Mitihani ya ni ile ya kisiasa...utasikia mama anaupiga mwingi.Siku hizi mnafaulu sana na mpo wengi
Miaka ya nyuma 1 . 5 ya pcb unaingia kumi bora ya taifa
This is great mkuu,tuombe mapenzi ya Mungu maishani mwetu,kuna jambo unaweza kua unalitaka kwa udi na uvumba lkn linakugomea kila ukijaribu ,,,,kumbe Mungu anahitaji ufanye jambo lingine.Ila maisha muda mwingine unapanga hili na Mungu anapanga...nilitamani engineering nikapata Div3 - 2010, nikaambulia computer science ifm na sasa nipo kwenye taasisi kubwa tu na maisha yanaendelea [emoji16]
Mtoa Mada
Omba mapenzi ya Mungu yatimizwe kwako hiko ndo cha msingi
Umeona rank ya mwaka huu kijana au,,,Makerere ndo top ,,tangu mwaka jana hiyo rank mnajitetea nayo kweliMuhimbili ni namba moja East africa na Ya tatu africa , sjui umeandika nini wewe jamaa
Chuo ganiDogo B.pharm ngapi hapo upanga??
HongeraMD muhas thanks
Hakuna kitu kama hicho utachekwa muhilbili hata top 10 kwa Africa haipo....Muhimbili ni namba moja East africa na Ya tatu africa , sjui umeandika nini wewe jamaa
Politike tupu.Mitihani ya ni ile ya kisiasa...utasikia mama anaupiga mwingi.
Madogo hawafaulu kwa kiwango kile bali wazee wa kusawazisha wapo kazini
MhMuhas hawaingii vilaza,ukiona hujachaguliwa muhas jua wewe ni kilaza[emoji28][emoji28],anyway vyuo vipo vingi sana jaribuni kwengine.
Kigezo loan board mkuu na ndio maana wanabanana huku,sasa nje ya tz inabidi watafute means nyingine ya pesaMzazi makini hapaswi kuwaza muhimbili tu.
Katika nchi jirani zinazotuzunguka Kuna vyuo vikuu kibao vina ranking ya juu kuliko muhimbili tena ada zake hazitishi sana.
MD ya makerere ina nguvu kuliko ya muhas kwenye world ranking
MD ya university of zambia ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of Malawi ina nguvu kuliko muhas
MD ya university of nairobi ina nguvu kuliko muhas
University of rwanda pia ina Md yenye nguvu sana.
Wazazi wengi siku hizi wanalipa ada mamilioni toka chekechea na sekondari wanalipa mamilioni huko marian, st francis, tusiime ama feza.
Ila cha kushangaza vyuo wanategemea vya ndani yetu tu.
Ukienda kusoma kwenye top public university za nchi zinazotuzunguka tu unakuwa na degree kali sana ya medicine kuliko ya muhas.
Acha uongo una takwimuMuhimbili ni namba moja East africa na Ya tatu africa , sjui umeandika nini wewe jamaa
naendeleaaje na masomoAsante mkuu, nishayavulia maji, acha niyaoge.
Naendelea vyema kabisaU
naendeleaaje na masomo
Hongera tukutane internship Panapo majaliwaNaendelea vyema kabisa
shukrani mkuu, inshallah🙏Hongera tukutane internship Panapo majaliwa