Pambano la ngumi (VITASA) kati ya Seleman kidunda (JWTZ) na Katompa kutoka DRC ni Leo!
Ikumbukwe katompa miezi michache nyuma ndiye aliyemchapa Abdalla Pasi (dullaboy)
Kwa kutambua uzito wa Bondia Katompa RAIA kutoka DRC, ambaye kaja tena kupigana akiwa na ujumbe kutoka "jeshi la Kongo" Kwamba Jeshi la Kongo limemtuma KATOMPA Aje kumrudisha KAMBINI mwanajeshi wa kitanzania aliyepotea njia kuingia ulimwengu wa Masumbwi.
Hivyo kwa kutambua ujumbe huo! Wakuu wa Jeshi watafuatilia pambano Lako Leo Jioni!
Unabaraka za Jeshi kupambana, una baraka za inchi ya Tz, una faida ya mbinu za kivita, una mafunzo ya uvumilivu, una mbinu za kimedani, Unawakilisha nembo ya Jeshi, Una mafunzo mazuri hata kumchapa K.O
Ukikubali Kupigwa leo ni sawa na kumwangusha chini "JENERALI"
Itoshe kusema Ukipigwa na kurudishwa kambini na Raia KATOMPA, Hakika utambue kambi imejaa majani, Itabidi UFWEKE MAJANI kuzunguka Kambi nzima.
Updates
Leo ni Leo tena! Pambano linarudiwa uwanja wa majimaji songea 30 July 2022, Lazima mshindi apatikane songea hakuna mbeleko Leo mtu mzima anapasuka!
Bila kusahau mzee wa mikwara mandoga mtu kazi na Kaoneka!
Nani zaidi?
Ikumbukwe katompa miezi michache nyuma ndiye aliyemchapa Abdalla Pasi (dullaboy)
Kwa kutambua uzito wa Bondia Katompa RAIA kutoka DRC, ambaye kaja tena kupigana akiwa na ujumbe kutoka "jeshi la Kongo" Kwamba Jeshi la Kongo limemtuma KATOMPA Aje kumrudisha KAMBINI mwanajeshi wa kitanzania aliyepotea njia kuingia ulimwengu wa Masumbwi.
Hivyo kwa kutambua ujumbe huo! Wakuu wa Jeshi watafuatilia pambano Lako Leo Jioni!
Unabaraka za Jeshi kupambana, una baraka za inchi ya Tz, una faida ya mbinu za kivita, una mafunzo ya uvumilivu, una mbinu za kimedani, Unawakilisha nembo ya Jeshi, Una mafunzo mazuri hata kumchapa K.O
Ukikubali Kupigwa leo ni sawa na kumwangusha chini "JENERALI"
Itoshe kusema Ukipigwa na kurudishwa kambini na Raia KATOMPA, Hakika utambue kambi imejaa majani, Itabidi UFWEKE MAJANI kuzunguka Kambi nzima.
Updates
Leo ni Leo tena! Pambano linarudiwa uwanja wa majimaji songea 30 July 2022, Lazima mshindi apatikane songea hakuna mbeleko Leo mtu mzima anapasuka!
Bila kusahau mzee wa mikwara mandoga mtu kazi na Kaoneka!
Nani zaidi?