Seleman Kidunda usituangushe, leo mchape Katompa ili kulinda heshima ya Jeshi na nchi

Seleman Kidunda usituangushe, leo mchape Katompa ili kulinda heshima ya Jeshi na nchi

Sio mfuatiliaji sana wa masumbwi ila leo nataka niingie hapo ubungo plaza nishuhudie game.
Jeshi lina vijana wawili Leo!
Ukiachilia mbali KIDUNDA, Kuna mwingine atatangulia kucheza pambano la utangulizi
 
Katompa tunamtengenezea CV tu hapa Tanzania alitakiwa akutane na TWAHA KIDUKU faster baada ya kumchapa ABDALAH PAZI kumpa Kidunda nikumuongezea CV tu kutuchapa waTZ
unaonekana humjui vizur kidunda bro unahangaika tu...
 
Baada ya Injury! Katompa anashangaa kwanini isomeke Draw! Wakati wakati kidunda anaonekana kidonda kimekauka?
Katompa anasema wamemuogopa kwa kisingizio cha injury!
 
Back
Top Bottom