- Thread starter
- #21
Kivipiisingekuwa shule kunibana ningewabeba sana watz kupitia masumbwi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipiisingekuwa shule kunibana ningewabeba sana watz kupitia masumbwi
Una umri gani sasajamaa tupo nipo mdogo namsoma akipigana mpaka leo
Jeshi lina vijana wawili Leo!Sio mfuatiliaji sana wa masumbwi ila leo nataka niingie hapo ubungo plaza nishuhudie game.
Mwenyewe nimecheka sana nikasemaUna umri gani sasa
Mkuu we elewa tu,nimeanza kumsikia Kidunda nikiwa primary school nikimsikia Radio Tz na magazeti. Mada ni Kidunda 🤣🤣🤣Una umri gani sasa
unaonekana humjui vizur kidunda bro unahangaika tu...Katompa tunamtengenezea CV tu hapa Tanzania alitakiwa akutane na TWAHA KIDUKU faster baada ya kumchapa ABDALAH PAZI kumpa Kidunda nikumuongezea CV tu kutuchapa waTZ
Nimemsaidia kuu guess umri wako pale juu kijana wangu okwi BOBAN SUNZUMkuu we elewa tu,nimeanza kumsikia Kidunda nikiwa primary school. Mada ni Kidunda [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
anaitwa Galiyatano JWTZ representsJeshi lina vijana wawili Leo!
Ukiachilia mbali KIDUNDA, Kuna mwingine atatangulia kucheza pambano la utangulizi
ningekuwa bondia matata sanaKivipi
unaiwezaisingekuwa shule kunibana ningewabeba sana watz kupitia masumbwi
Kwa umri wako teenage bado unanafasi kubwa sana! Jaribu kujiunga uanze mafunzo huenda siku ukamchapa Dulla PAZIningekuwa bondia matata sana
Sawa sawaanaitwa Galiyatano JWTZ represents
unaiweza
sawa tusubiriunaonekana humjui vizur kidunda bro unahangaika tu...
Nimekaza kwa ajili ya hili pambano nioneeKama kweli hivi maana uwa anapigana na mabondia wa mchongo sasa Leo ngoja akutane na ngumi jiwe akitoboa tutaamini ni mwamba
Billie
Sent from my REDIO KOO using JamiiForums mobile app
Biashara imeisha pambano inabidi lisimame technical draw! Katompa mjanja sana kachomekea faulo ya kichwa ...kabla ya round 4...sasa imesomeka technical draw
Biashara imeisha pambano inabidi lisimame
Ishaisha hiyo!