Mwalimu wa Zamu Tz
JF-Expert Member
- Jan 2, 2021
- 1,053
- 2,757
Kuna mtu alkua anapigwa vbaya sana Leo tushukuru draw
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni KWELI KABSAAA HAIWEZ KUWA DROO MZEEBaada ya Injury! Katompa anashangaa kwanini isomeke Draw! Wakati wakati kidunda anaonekana kidonda kimekauka?
Katompa anasema wamemuogopa kwa kisingizio cha injury!
Unaweza kufafanua Kwanini wakati kidunda kapata injury kapigwa kichwa?
HahahKuna mtu alkua anapigwa vbaya sana Leo tushukuru draw
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ni ngumi ile iliongia jichoni....kulkua amna sababu muhimu ya kuairisha pambano labda cjui sheria vzur ila kidunda kavimba kidogo sana mbona uwa wanavimba mpaka macho hayaonekan na pambano linaendelea....Itoshe kusema tushukuru kwa hii droo bila ivyo taifa lingeaibika sanaaUnaweza kufafanua Kwanini wakati kidunda kapata injury kapigwa kichwa?
Kidunda anaombaga sana pambano na kiduku...Ngoja wapimane kwanza kabla ya kuvuka bodaHuyu katompa apewe kiduku tu, heshima inashuka sana kwa hawa wakongo
Ngoja afweke majani ya kambi sasaKidunda anaombaga sana pambano na kiduku...Ngoja wapimane kwanza kabla ya kuvuka boda
Sent from my Mkweche using JamiiForums mobile app
Acha utanhahaaaa hili li 'congoman' hili ni hatari sana, litafagia mabondia wote wa kibongo,
yaani lijamaa lina rusha ngumi utazani mwisho wa dunia!!Acha utan
Ni ngumi ile iliongia jichoni....kulkua amna sababu muhimu ya kuairisha pambano labda cjui sheria vzur ila kidunda kavimba kidogo sana mbona uwa wanavimba mpaka macho hayaonekan na pambano linaendelea....Itoshe kusema tushukuru kwa hii droo bila ivyo taifa lingeaibika sanaa View attachment 2058921
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Haikuwa ngumi, na wala haikuwa jikoni. Ulikuwa na usingizi mzee?[emoji1][emoji1], Ila kuhusu pambano kuahirishwa hata mimi sikuona sababu haikuwa injury kubwa kihiivyoNi ngumi ile iliongia jichoni....kulkua amna sababu muhimu ya kuairisha pambano labda cjui sheria vzur ila kidunda kavimba kidogo sana mbona uwa wanavimba mpaka macho hayaonekan na pambano linaendelea....Itoshe kusema tushukuru kwa hii droo bila ivyo taifa lingeaibika sanaa View attachment 2058921
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Daktali alithibitisha kuwa ile injury isingefaa kuendelea! Katompa angekuwa anapiga hapohapo kwenye kidonda mdogo mdogo!Haikuwa ngumi, na wala haikuwa jikoni. Ulikuwa na usingizi mzee?[emoji1][emoji1], Ila kuhusu pambano kuahirishwa hata mimi sikuona sababu haikuwa injury kubwa kihiivyo
Umeamkaje?Kila la kheri zao...
Leo ni Leo hakuna kubebwakidunda ana bahati kweli kweli, tena ashukuru uzalendo, yaani pambano lingeendelea kwa raundi zingine2 angetolewa ulingoni kwa msaada wa ambulance...……….
Katompa yupo vizuri kuliko Kidunda mimi ni MTanzania napenda boxer na nimfuasi wa boxer kuliko hata Football nimemuangalia sana Katompa ni boxer mwenye maarifa sana hakamii ana hold temper vizuri ana organize ubongo wake kwenye kurusha ngumi zake.
KIDUNDA UMRI SIJUI KACHOKA NA MAZOEZI MI HATA SIELEWI.Anyway natamani tulipe kisasi ili ile aibu ya kutoka kwa Abdalah Pazi ifutike.