Sio hoja kivip wewee, mnadai mawakala walifukuzwa , haya waliofanikiwa kushuhudia matokeo kwenye vituo hata kama wapo kumi , watupe nakala tujumlishe tuone kama Lissu alishinda na hyo ndo iwe sample ya matokeo yote , na hapo tutaamin kwel Lissu alishinda kura zikachakachuliwa ...sasa kuongea ongea Tu mara ooh niliona kwenye vituo vingi , mara oooh kimoja JPM 70 Kwa 67 , mara mabegi ya kura sjui , njia sahihi mawakala walikodoa from begining to the end na wakapewa nakala , watupe hayo tuoneee....
Mawakala wapo kimya na ndo Wana data nzuri, Kati ya watu waliosimamia uchaguz most ni walimu , watu ambao wanamhate Sana JPM but na wao wapo kimya cse wanajua JPM kashinda kiuhalali kabisa , ......
Nilikuwa na was was na matokeo ya ubunge wa mbowe , nimeongea na majamaa wa Hai wanadai jamaa kapigwa kiuhalali kabisa .....
Angalieni hzi laana mnazoliombea Taifa zitawarudia , mana mnajua mmeshindwa ila Kwa ukaidi mnatengeneza maneno ...
Acha hizo kama Mungu sio CCM hakika kabla ya hilo genge kumaliza safari yao ya hapa Duniani wataona malipo yake.
Nakuhakikishia ipo siku Udhalimu huu utalipuwa kisasi kikuu.
Waovu wakikaa pamoja wanajisahau sana. Unajua hata historia za dini zinaonyesha kuna wafalme walipata mafanikio makubwa sana lakini walijikweza na kujiona kama miungu na kuwaumiza sana watu .
Ni ukweli ulio wazi Kura ziliongezwa na kupigwa Mara mbili mbili.
Nilikua nafuatilia kwa karibu sana . Niliwauliza baadhi ya watu ni kwani nini walikubali kuruhusu kura kubadilishwa na watu kupiga kura Mara mbili ?
Majibu niliyoambiwa ni ya kusikitisha sana. Nchi hii kama Mungu ndiye aliyeruhusu huu wizi na unyama walioufanya usalama wa Taifa kushirikiana na mawakala feki wa CCM waliokua wanawatisha Walimu waliosimamia kura basi tumwachie Mungu Mwenyewe huenda ameona mambo mazuri yanayokuja kupitia hawa mabapari na mabilionea walioiba kwa miaka mingi ndani ya serikali na sasa wanahofia Mali zao kubainika na kukosa mlinzi .
Lakini kama Uhuni uliofanyika umepangwa kutokana na tamaa ya watawala na vyombo vya dola vilivyokua vinashiriki kwa muda mrefu kutorosha twiga na madawa ya kulevia na kujilimbikizia Mali na sasa wanatumiwa na wanasiasa waliokua wanaliibia taifa kwa miaka mingi basi Mungu ataonyesha njia Miaka hii mitano CCM watavaa nguo nyeusi mana upepo wa kisulisuli utaibadili histori ya nchi kabla ya mwaka 2025 .Hakuna mtu atakayewaambia wananchi andamaneni Bali watajiorganise wenyewe na hapo ndipo mabadiliko yatakapotokea na Mali walizojilimbikizia wezi na madhalimu zitapeperushwa kama upepo wa kisulisuli na kutapanywa kwa wahuni wasio na ajira mitaani.
Tubuni kwa udhalimu huo mlioufanya. Ushindi ungeweza kupatikana kwa halali bila kuwaumiza wengine na kufanya wizi. Eti mashindano ya kumpatia Rais kura nyingi za kutengeneza . Kama watu wanapanga njama kuiba kura watashindwaje kuiba Mali za umma na kupoteza ushahidi huku wakiudanganya umma.
Mitandao ilipozimwa mlitegemwa watu watumeje picha za nakala halisi za matokeo.?
Kuna mambo yanakera sana kwa wanasiasa wanaotumikia Fedha na mali zao?
Hata hivyo tunataka maendeleo nchi nzima mana Yale mambo ya CCM kuchukulia ushindi wa uchaguzi kama ushindi wa mpira wa kuchambana na kushangilia bila kujua kuwa wana wajibu wa kuleta maendeleo nchi nzima kwa usawa na sio kutuonyesha uzinduzi wa ukanda mmoja miaka mitano kisa waliwachagua kwa wingi sasa mmechaguliwa kwa wingi nchi nzima wanataka maendeleo . Vile vihela vichache mlivyokua mnavipeleka kwnye maeneo ya mawaziri tu sasa njiandae kutolewa macho na wabunge wenzenu wa CCM .
Mtakopa China kama Zambia na watachukua mpaka Kanisa la Gwajima mana hamtaweza kulipa madeni yao na hamtaweza kuacha kukopa ili miradi ya maendeleo ifanywe kama mlivyoahidi .
Maendeleo hayana Vyama Vingi.