Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hivi jinsia yako huwa inabadilika badilika eti?
nami najiulizaga hivyoo kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi jinsia yako huwa inabadilika badilika eti?
Haha kwa nini jamani?haha nimejikuta nashangaa tu!
ShemejiiiiiiiiiiYan kesho asubui na mapema nakula selfie moja af natumia dem wangu huko mburu namwambia nmefata mzigo nombay, na hiz hata muda wakuangalia tv hana
ukija huku mjini kumbuka kutuletea kuku, mchele,mihogo na karanga kama zipo!Nipo njinjo mwaya
kwa kweli me simuelewi binamunami najiulizaga hivyoo kama wewe
Aaah Tuma tu hela mapema nikununulie, vyote vipo[emoji23] [emoji23] [emoji23]ukija huku mjini kumbuka kutuletea kuku, mchele,mihogo na karanga kama zipo!
Pia usisahau kunchukulia kisanvu pale jirani kwenu kwa yule mama muuza gongo!
Jana nilipita huko, niliona magari mengi yameegeshwa pembeni wanapiga selfie!Wadau habari zenu...kwenye thread hii natarajia kupokea picha za daraja la kigamboni kwa mtindo wa selfie!
Najiandaa kuelekea bongo na kupjipitisha darajani Kigamboni na kupiga picha 'selfie' ya ukumbusho.
Naaaaam lazma nimtumie picha dada akoShemejiiiiiiiiii
Wanakujaga na viroba vya mahindi mjini,after two weeks nao wanajiona wajanja.Mkae huko huko...! Mumetutusi mno...! Sasa hivi tutaweka beria in lets zote mnafanyiwa interview.. Mnachafua kiswahili chetu hapa mjini.
Ndo umeamua kunizunguka bebiii, haina mbaya.kwa kweli me simuelewi binamu
Nimepewa taarifa mida hii,yupo njiani toka iringa mjini kushiriki uzinduzi kesho jumanne.Hivi bado mkuu wa wilaya ya nanihii, mheshimiwa "Twanga fotoo" hajapiga selfie pale?😀
kuvuka bahari mkuuHivi hilo daraja la kigamboni limejengwa kuvuka mto gani? Mi mgeni.
mi huwa naamini kuwa yeye ni mwanamke sasa nikashangaa inakuaje anatupa ndoano kwa mwanamke mwenzie mpaka sasa sina jibu yani bado nipo kwenye mshangao!!!!!!!!!!!Haha kwa nini jamani?
Jinsia yake ina msimumi huwa naamini kuwa yeye ni mwanamke sasa nikashangaa inakuaje anatupa ndoano kwa mwanamke mwenzie mpaka sasa sina jibu yani bado nipo kwenye mshangao!!!!!!!!!!!
nimetafakari hadi basi.Hivi jinsia yako huwa inabadilika badilika eti?
haha kwa hiyo msimu huu wa baridi na mvua za mara kwa mara inageuka kua Me!......noma sana.Jinsia yake ina msimu
Teh hasomekinimetafakari hadi basi.
swissme
haha kwa hiyo msimu huu wa baridi na mvua za mara kwa mara inageuka kua Me!......noma sana.