wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,172
- 1,128
Aaah hilo katazo halipo unatokea hadi ukalale huko unataka kufaidi niniHahaha I'm super humbled
Mmmh nilijua wanaruhusu kulala
Ndo umeamua kunizunguka bebiii , haina mbaya.
Kausha mzeeHapo kwenye blue wewe, hivi wewe ni KE au ME mbona mkanganyiko, huwa unajifanyaga mwanamke siku zote,leo uzalendo umekushinda, kuna thread ulijifanyaga hutaki tena wanaume ukasema kuna dawa unapigwa hupatwi na nyege.. Wewe ni wakuangaliwa sana kuna jambo nyuma ya pazia...
Naona ile sindano ya kuondoa hisia za mapenzi na mwanaume isha kudhuru, sasa unageukia wanawake wenzako.Ndo wa
Wap bebiii jaman, nimekupenda bure ati, nijibu fasta
Nimekosa nini jaman? Kwan Kuna mtu nimemtongoza huku? DahNaona ile sindano ya kuondoa hisia za mapenzi na mwanaume isha kudhuru, sasa unageukia wanawake wenzako.
Ndo ufafanue wewe ni KE ama ni MENimekosa nini jaman? Kwan Kuna mtu nimemtongoza huku? Dah
Tatizo Ni nini sasa,? Mbona wengine hamuwaambii wataje jinsia zao? Ni Mimi tuNdo ufafanue wewe ni KE ama ni ME
Bila michango yetu huku migodi ya dhahabu NSSF wangepata wapi hela?Kaa hukohuko kwenye mapori yenu mkoani...!
Janja hiyo ya kutaka kupata picha ya daraja la kigamboni.
Kila siku mnajifanya dalisalaam siyo issue everything wanaume wadalisalaam kaa hukohuko...
Pole sana! Sijujua km inawauma na nyie mkisemwa maana juzi kati tuu mumeshabulia sana nyie wati wa mashambani.Bila michango yetu huku migodi ya dhahabu NSSF wangepata wapi hela?
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Nipe dooh 10k nikaushe mazeeKausha mzee
Wacha mineno hiyo,.Nipe dooh 10k nikaushe mazee
Njinjo ndio mkoa ganiNipo njinjo mwaya
Lindi huko[emoji85] [emoji85]Njinjo ndio mkoa gani
Mkuu siku mbili sasa bado tuu hujafika dar!!..unakuja na baiskeli nini??[emoji38] [emoji38]Wadau habari zenu...kwenye thread hii natarajia kupokea picha za daraja la kigamboni kwa mtindo wa selfie!
Najiandaa kuelekea bongo na kupjipitisha darajani Kigamboni na kupiga picha 'selfie' ya ukumbusho.