Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utadhani ni meza ya mwalimu wa lasaba b
kuwa ofisi nzuri au mbaya sio maajabu maana hiyo sio ofisi yake? Hakuna alisema ofisi ni mbaya , hapa tupo na kauli yake ya kijinga kuwa hapendi viongozi kupiga mapicha kuweka mitandaoni.Mkuu BAK yaani Dkt Magufuli angekuwa kwenye ofisi nzuri mgesema fisadi, hahaha ila nyie watu vimeo sana
Na photocopy juuUtadhani ni meza ya mwalimu wa lasaba b
Na photocopy juuUtadhani ni meza ya mwalimu wa lasaba b
Na hizo ndio sifa kuu za uongozi, power delegationNa photocopy juu
Anajiumiza bure..
Atakufa aache kila kitu..
Ajifunze Ku relax na kuacha wengine wafanye maamuzi
😂😂Sio uzuri wa ofisi
Huoni mafaili mengi mno??
Anajilimbikizia maamuzi
Mengine awaache watu wa chini waamue
Angekuwa mtu wa kuwaachia wengine mngesema linakula raha hili jamaa.Na photocopy juu
Anajiumiza bure..
Atakufa aache kila kitu..
Ajifunze Ku relax na kuacha wengine wafanye maamuzi
wewe si ndio umepost picha hapo juu!!!.au umesahau?kuwa ofisi nzuri au mbaya sio maajabu maana hiyo sio ofisi yake? Hakuna alisema ofisi ni mbaya , hapa tupo na kauli yake ya kijinga kuwa hapendi viongozi kupiga mapicha kuweka mitandaoni.
walimwengu wana shida sana,wanachofanya ni kutafuta wa kumtwisha lawama ili wapate ahueni[emoji2][emoji2].Angekuwa mtu wa kuwaachia wengine mngesema linakula raha hili jamaa.
Binadamu hatuna hili....let him be.
Aiseeeeeeeee.Ufisadi uko palepale ila ile ni ofisi ya rais au kibanda cha kuburn cd huko uswahilini