Mkokaa nimekuona
Huyu ni wewe
Hata ile uliyofuta pia nimeona πππApo juu
Hahaha..
Mimi vyote vyote.
Wereva + vitambi vya kiporo[emoji134][emoji1751][emoji1751]
πππππππ vidole vya tangawiziKabisa niweke vidole vyangu vya kufukua viazi[emoji2][emoji2]
Nikuone basiHapo umenizidi kitambi
Nikuone basi
Mkokaa nimekuona
Zinaporomoka picha Kali Kali tu humu.
Yangu na hichi kitambi Cha ugali..walahi siwezi kutuma
NakujaHahahaha labda pm
Powa. Namba ngapi?Tafuta utaniona na utakubali
Unanijua, acha mbwembweNa mm nikuone basi
Nakuja
[emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu utatuharibia uzi wetu[emoji1787][emoji1787]
We huoni mbona unatusema ss vibonge ?[emoji23][emoji23][emoji23]Lipi Tako na lipi ni kifua