Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Daah we Mzeee
Duh naunga mkono hoja.Mimi kama mkaguzi bado scorpio me anabaki kushikilia namba moja
Kwa upande wa wadada
Kwani unioni hapo Kapeace???
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahaha,ila wewe huaminiki[emoji23][emoji23]
Toa emoj basi
Ni miongoni mwa wanaume wanaojitambua humu jf.
Hahahahha unanichokoza wewe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niamini bana
Toa emoj basi
Zipi hizo hebu njoo uulizie upande huu mwingineHahaha, nimeacha.
Ila hapa nina doubts zangu nazitunza kwa muda.
Mkuu anataka ambayo ana kitambi!?
View attachment 1218902
Mkaigugo sasa
Huyo mtoto mjanja, kuweka hicho kipengere cha fyucha nzuri ni kututoa kwenye ramani.
Kwamba ukikataa kumkubali future yako ni doubtful.
HahahahahaUkute umeweka picha ya msauzi[emoji23]
Nice legs...lol
Ha ha ha, atakuwa hana kitambi. Ila hii ni ya 20 - 22.
NakaziaDuh naunga mkono hoja.
Tuone machoAlafu
Ha ha ha, atakuwa hana kitambi. Ila hii ni ya 20 - 22.
Kwani sasa hivi ana mingapi?
@kapeace