Unanisingizia eeh?[emoji23][emoji23][emoji23]kashakula mpaka balance
Ngoja niitafteTayari nishapost mkuu.
Nimepost 3, bado tu jamani[emoji134][emoji134]
Una ka mwili katraamu[emoji8]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Next year ' January [emoji41]
Hannah mtata wallah!Wamekubaliana na wewe kwamba hiyo miguu ni bora kuliko picha zote kwenye huu Uzi.?
Hamna mwanaume mwenye akili aliokubaliana na wewe kwenye hilo zaidi ya wajinga wenzako.
Watoto wa shule wanasemaga wamemsungu ππNa wengi wameogopa kujadiliana nae huu ujinga wake kwa kuhofia kuambiwa wanaona wivu
Picha ni kali lakini kulinganisha mguu ni viwiliwili vyote humu nakataa mpaka kesho anaesema naona wivu atajiju,
ππππππ maandalizi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo wafanya photo shoot leooo
Mtoto Mashaallah[emoji178][emoji178][emoji178][emoji178][emoji178][emoji178][emoji178][emoji178]
Nimeunga mkono hoja picha za Scorpio nzuri. Hilo sibadilishi. Nimependa hizo picha.Hujaponda, shida inaanzia alianza sifia yule mkaka akaponda za wengine, weww ukamquote pia na kuunga mkono hoja, ndo nikataka kuona hizo picha.
League kubwa hapa kusifia a na kuponda b.
Nikuone tena jamani chibonge πHannah mtata wallah!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jf imejaa vituko sana!! Yaani mtu mnahangaika kuvaa vijinzi vyenu vipya ili mradi tu muonekane mko safii!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimejikuta nacheka kwa sauti mimi jamani
Hayahaya
ππ yale yalikuwa kwa ajili ya photoshoot tuHalafu wewe huna makucha ya vile
Nimeunga mkono hoja picha za Scorpio nzuri. Hilo sibadilishi. Nimependa hizo picha.
Abe@hannah