Nimetafta sijaonaTayari nishapost mkuu.
Hahahahaha[emoji23][emoji23] yale yalikuwa kwa ajili ya photoshoot tu
Kweli alitumaLeo nimeshinda kwenye huu uzi, acha uwongo.
Leo umetuma shingo@Sakayo help me pleaaase. Jana nilituma ya full kasoro kichwa leo nimetuma ya kichwa.
Asante mwaya!
Nachoamini yule role model wangu tunafanana sana tuu, sema tuu maisha yanatofautiana my dear!!
Tho sijawahi acha mshukuru Mungu venye niko, nikitabasamu tuu ni baraka!!!
Barikiwa sana, najua hunaga unafiki!
Wawoh!Ngoja nikusaidie.picha alotoa hii hapa, baada ya kuiona nikaacha kuhangaika maana nimeitafuta sanaView attachment 1219021
Nimenenepa Jana jioni 😂🏃Hahahahaha
Wala sio kibongee
Anza na hiyo....picha ya kakucha coming soon
Don Clericuzio tunguli za Mshana Jr zimenibamba
View attachment 1218986
Pole sana jamaniKilima kinachosha mpaka nilitamani nishikwe mkono na jirani anipe msaada
Jeeeees!! Miguu yenyewe yote ya kushoto[emoji134][emoji134]Haiwezekani, itakuwa Matango pori weka picha ya mguu
Umetuma shingo auntieEti sijatuma picha?
Nasikitika kutokuona huo mwanya na nnavyopenda sasa 😟Asante mwaya!
Nachoamini yule role model wangu tunafanana sana tuu, sema tuu maisha yanatofautiana my dear!!
Tho sijawahi acha mshukuru Mungu venye niko, nikitabasamu tuu ni baraka!!!
Barikiwa sana, najua hunaga unafiki!
Na miguu, na kiwiliwiliUmetuma shingo auntie
DaaahhhEnheeeeee kwa sura umemfunika role model wako nikwambie sasa
Mazingira yanatuangusha sana bushladies lakini ndo maisha yalivyo vidole vinafanana kimuonekano lkn urefu ni tofauti
[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji116]View attachment 1219028
AsantePole sana jamani
Sijaona my dearNa miguu, na kiwiliwili