Yupo chuo hahaha ...Mimi sio baharia siwezi kufanya biashara za magendo,kusema kweli yani hilo umbo lako na hiyo rangi ya ngozi vimenifanya kabisa nishawishike kufanya kazi hapo ofisini kwako,kama upo tayari nilete CV.
Kitambo Sana.Nimeiweka humu kitambo mbona ww je?
Akhsante nashukuru.
Ila nafasi zilishajaa[emoji3526]
Yupo chuo hahaha ...
Dada yetu wa kiroho hapa chuoni
KibabePapaaa
Bahati mbaya sinaga huu utaratibu.Mimi hata kujitolea naweza,mpaka pale wengine watakapo staafu au wakiamua kuacha kazi.
Kibabe
Bahati mbaya sinaga huu utaratibu.
Sitarajii kuachisha mtu kazi..
Nadhani hata Yeye anajua na akipita ataona.
Nani kasema nipo chuo!?Basi mie nimempenda dada yenu[emoji23][emoji23]
Nani kasema nipo chuo!?
Nimeishia la 3 c...huko anakokusema sikujui.
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Jamaa anasema upo naye chuo kimoja
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Amenifananisha.
Mimi sipo chuo.
Hapana.Ila jamaa inaonekana anakufahamu vizuri sana
Hata kunitag basi nitumie pmKitambo Sana.
Hadi nilishafuta
Umepitwaje jamani[emoji134].Hata kunitag basi nitumie pm
Naomba nafasi ya upendeleo wa kuona hiyo picha kule pm tafadhali mdogo wangu mzurimzuriUnapenda gukitambi Hugo dada.
Mimi silipendi...Ni too much
Nilishafuta...Naomba nafasi ya upendeleo wa kuona hiyo picha kule pm tafadhali mdogo wangu mzurimzuri
Nakuja kunako pm Sasa hivi.Wooi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilishafuta...
Njoo