Naiona flying horse kwa nyuma hapo
Huyu relief Sina shida na zakeAlipita ila hajatuma picha na Mother Confessor ndiyo sijamuona kabisa na Relief Mirzska naye sijui kapita kimya halafu nimegundua humu waliotuma picha wengi ni wanawake yaani wanaume waliotuma ni wachache sana tena siyo wale tunaokutanaga nao kule MMU yaani wengi wameuchuna aise
Nilishaweka na nilishafutaWewe ulishaona
Hivi zako umeweka??
Nadhani wamesikia watakuja tuWaite.
Sasa utalipuaje ya kwangu wakati hawajakuomba mimi yako nimeombwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukichomoa Mimi nalipua kabisa bomu humu
Tayari unamfahamu??Huyu relief Sina shida na zake
AiseeAlipita ila hajatuma picha na Mother Confessor ndiyo sijamuona kabisa na Relief Mirzska naye sijui kapita kimya halafu nimegundua humu waliotuma picha wengi ni wanawake yaani wanaume waliotuma ni wachache sana tena siyo wale tunaokutanaga nao kule MMU yaani wengi wameuchuna aise
Watu walivyokuwa na usongo nayo.Sasa utalipuaje ya kwangu wakati hawajakuomba mimi yako nimeombwa
We chomoaaHaya Saint anne sema suuu nichomoe betri yako huku
SanaTayari unamfahamu??
Naweka mwenyeweWe chomoaa
Humu ndani Kuna vifaa vya kufa mtu [emoji91][emoji91][emoji91]
UongooNilishaweka na nilishafuta
tukatafute pamoja
[emoji134][emoji134][emoji134]Nilishaweka na nilishafuta
[emoji6][emoji6]Aisee
Khaa kina nani hao?? Na wanajuaje??Watu walivyokuwa na usongo nayo.
Huwa wanaomba pm
Naogopa mie atanichapaWe chomoaa
Oohh nakuja unipe ya kwakeSana