Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,231
- 22,494
wazee mliogoma kuzeeka
Forever young😁💪wazee mliogoma kuzeeka
naona hamtaki kabisa kuzeekaForever young😁💪
Mjini hakuna mzee😅naona hamtaki kabisa kuzeeka
juzi nimekutana na.mzee kapiga jeans imechanwa kwenye paja na kweny mguu kaulamba kweli utasema miaka 23 kumbe du 45
au sio?Vijaya tulio.zeeka kabla ya umri
Nilikuwa sijui nina Mjukuu mgomvi hivi 😅Sugua shingo hiyoooo
yahau sio?
unanenepa mzee
unanenepa mzee
hela mnazo mnafanya unafki tuacha iyo mbaya itakuchafua 🤣🤣🤣
sisi hatuna hela bdo tunatafutahela mnazo mnafanya unafki tu
wasalimie tabora ustawi hapoNafika kaliua one time
View attachment 3084322
unaifuata sioNafika kaliua one time
embu selfika na ww leounaifuata sio
nishastaafuembu selfika na ww leo
acha janja janja kijannishastaafu
Huku tabora kuna shombe wa nzega na mimi za kiarabu ndo maradhi yanguunaifuata sio
Huyo bila mams hatumi pichaembu selfika na ww leo