Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Umepita mulemule aisee, leo Kuna status kaweka ya apartments mpya aisee. Akibisha tu namwaga hapaπWee Mkinga kabila tu linakubeba. Ukute hapo unamalizia ghorofa la 3. Huku unatafuta nyumba Sinza 2B uivunje, ujenge lingine. Sikuwezi kabisa Odo ake. Mimi sina pesa, mpaka niombe home π€π€π€π€£π€£π€£π€£
Uzuri anajua vizuri tu unataniaKwahiyo umekaza nisipewe mtaji? πππ
Acha bana mi pesa sina na unajua hilo
Hiko ndio kitu nakionaga, sijui kwa nn huwa ni nguku kuwapa ramani na wengine aiseeWewe shem huwa unasema kweli na nakuamini kabisa. Ila mwache aendelee kunizingua. Uzuri ukweli uko wazi hakiharibiki kitu. Wafanyabiashara wakubwa wachoyo, kukwambia A,B,C za biashara. Hawataki kutoa siri mtajirike wote.
Good halafu unajua shem. Wanawake ndiyo wenye pesa siku hizi. Yaani wanawake wameamka hadi raha. Wengi hawawategemei tena wanaume. Wanafanya mambo makubwa sana. Hongera Odo ake Lamomy Zizidi na zingine πUmepita mulemule aisee, leo Kuna status kaweka ya apartments mpya aisee. Akibisha tu namwaga hapaπ
Acha kumchosha bana, HUNA uhitaji kabisa. Wewe na yeye wote mabosslady. Ambacho ungefanya ni kumpa ABC za kkooWeeh bana hizi sifa zako unazonipamba ndio zinafanya nashindwa kusaidiwa na matajiri ujue πππ
Em acha niwezeshwe
Huyo muongo niamini mimi,nauza vijora km uko tayari njoo tupigwe wetu na jua kuita watejaβ¦ πππWewe shem huwa unasema kweli na nakuamini kabisa. Ila mwache aendelee kunizingua. Uzuri ukweli uko wazi hakiharibiki kitu. Wafanyabiashara wakubwa wachoyo, kukwambia A,B,C za biashara. Hawataki kutoa siri mtajirike wote.
Kabisa aisee, wanawake wajanja wapo aisee alafu wanafukuza mwizi kimya kimyaGood halafu unajua shem. Wanawake ndiyo wenye pesa siku hizi. Yaani wanawake wameamka hadi raha. Wengi hawawategemei tena wanaume. Wanafanya mambo makubwa sana. Hongera Odo ake Lamomy Zizidi na zingine π
ππππ I receiveUmepita mulemule aisee, leo Kuna status kaweka ya apartments mpya aisee. Akibisha tu namwaga hapaπ
Thubutu wewe huyo, acha kuomba Mungu akushushe. Shukuru alipokufikisha. Mimi huwa napenda kumsifu Mungu kwa chochote anachonipa. Sitaki kumshusha ni kurudisha sifa na Utukufu wake.Huyo muongo niamini mimi,nauza vijora km uko tayari njoo tupigwe wetu na jua kuita watejaβ¦ πππ
Jioni kusukumana kugombea mwendokasi odo utaweza??
πππ We endelea kunisagia kunguni nikose pesa za bossladyUzuri anajua vizuri tu unatania
π€£π€£π€£ dah!! Umeamua kuniua kabisa nisipewe pesa..!!Acha kumchosha bana, HUNA uhitaji kabisa. Wewe na yeye wote mabosslady. Ambacho ungefanya ni kumpa ABC za kkoo
Odo achana na cantry nifanyie mpango wa mtaji, hayo mengine usimsikilize.!!Thubutu wewe huyo, acha kuomba Mungu akushushe. Shukuru alipokufikisha. Mimi huwa napenda kumsifu Mungu kwa chochote anachonipa. Sitaki kumshusha ni kurudisha sifa na Utukufu wake.
Odo nalala maana baadaye nikiamshwa nitaanza kulia π€£π€£π€£π€£π€£ usingizi bado, nitawanunia watu wote.
Acha kumsumbua huna uhitajiπππ We endelea kunisagia kunguni nikose pesa za bosslady
πMkuu sumbai tbt ya Bantu Lady akiwa goli enzi zake aliweka eh?
Walaa siogopi naona ni utaratibu tu watu huweka picha na kuzifuta baada ya mudaπMwambie aache uoga ππ
Na yote huyo fundi wa mchongo kuja kutaja jina la ndinga analo push shem πΉ
Hajui kumezea vitu khaaaa.!!
Mwanangu kwani Bantu Lady ni babe wako tangu lini?Haha sasa amani ipo asilimia zote babe.