Kitambo mkuu ila kwa sasa penzi ndio lina "take off".Mwanangu kwani Bantu Lady ni babe wako tangu lini?
Amna bwana usimuache mwanangu me nilikuwa nauliza tu, unajua sisi washkaji huwa hatunaga nomaKitambo mkuu ila kwa sasa penzi ndio lina "take off".
Toka lini? Yaani wewe kusema unanipenda ndiyo nimekuwa wako tayari hata sijakubali bana. Si nilikwambia una shemeji yako humu? π π π π π π pole. Nina babe wangu kikiboxer β₯οΈπ€
Bantu Lady kwahiyo umeniacha?
Simuachi maana yake ndio linapaa yani tuwe hewaniπAmna bwana usimuache mwanangu me nilikuwa nauliza tu, unajua sisi washkaji huwa hatunaga noma
Babe wanaokutaka humu ni mamia kwa maelfu, namimi najua wewe ni pisi. wakija wakatae kama huyuπToka lini? Yaani wewe kusema unanipenda ndiyo nimekuwa wako tayari hata sijakubali bana. Si nilikwambia una shemeji yako humu? π π π π π π pole. Nina babe wangu kikiboxer β₯οΈ
Aliielewa tofauti hiyo tunatake off. Wenzake ndiyo kwanza tunapaa, penzi linazidi kuchanua liko π₯π₯π₯π₯Simuachi maana yake ndio linapaa yani tuwe hewaniπ
Hongera sana broo, usimuache huyo mrembo mzuri, mstaharabu, mpole, anasaidia watu, anafanya ibada, alafu anajielewa nitashangaa ukimuachaSimuachi maana yake ndio linapaa yani tuwe hewaniπ
Kwahiyo unanizodoaAliielewa tofauti hiyo tunatake off. Wenzake ndiyo kwanza tunapaa, penzi linazidi kuchanua liko π₯π₯π₯π₯
UsinifokeeToka lini? Yaani wewe kusema unanipenda ndiyo nimekuwa wako tayari hata sijakubali bana. Si nilikwambia una shemeji yako humu? π π π π π π pole. Nina babe wangu kikiboxer β₯οΈ
Sema Zingatia sana hili neno "take off" Bantu LadyKitambo mkuu ila kwa sasa penzi ndio lina "take off".
Kwanza akupende nani me nilikuwa naku enjoy tuπToka lini? Yaani wewe kusema unanipenda ndiyo nimekuwa wako tayari hata sijakubali bana. Si nilikwambia una shemeji yako humu? π π π π π π pole. Nina babe wangu kikiboxer β₯οΈ
Huyu hana ubavu wa kunikataa mimi mzee sema staki kwizi wa mapenzi me ni kijana mstaharabu, msomi alafu najielewaBabe wanaokutaka humu ni mamia kwa maelfu, namimi najua wewe ni pisi. wakija wakatae kama huyuπ
π€£π€£π€£π€£π€£ hili nililijua utalisema tu. Hatupendani. Kila mtu ana wake. Mimi nimekufa nikaoza kwa my babe. Wewe nakuweka kwa dada mkubwa Madame B.Kwanza akupende nani me nilikuwa naku enjoy tuπ
Madame B kwani yeye anasemaje?π€£π€£π€£π€£π€£ hili nililijua utalisema tu. Hatupendani. Kila mtu ana wake. Mimi nimekufa nikaoza kwa my babe. Wewe nakuweka kwa dada mkubwa Madame B.
Mwanangu tupeanage michongo
Hii ndio nini kijana?
niny si watu kubwa hapa jfMwanangu tupeanage michongo
soma hapo uoni maneno babu mewani umeweka wapiHii ndio nini kijana?
Mkuu njaa Kali ππππniny si watu kubwa hapa jf