Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Ooh kabisa, Mungu ni mwema wakati wote. Hongera sana Mwachiluwi sasa tupange safari tu...
Ohoooh! Nimesaidiwa hapa, unakwea kwa anga?soma hapo uoni maneno babu mewani umeweka wapi
ahahha acha kunichora basMkuu njaa Kali ππππ
tajir kweli shoping ndog iyo? twende kula lunch pale johar MontanaOdo Lamomy Mwachiluwi twendeni shopping ndogo ya Jumanne. Babe kikiboxer β€οΈ nikukute wapi?View attachment 3098245
kabisa Asante kwakunichangia mpaka kupata hii kitOoh kabisa, Mungu ni mwema wakati wote. Hongera sana Mwachiluwi sasa tupange safari tu...
ndio Mungu akipendaOhoooh! Nimesaidiwa hapa, unakwea kwa anga?
Ooh! Great, unitafutie na mimi maana umri umeenda na sijawahi kukwea anganindio Mungu akipenda
Nikute Mikocheni. unaenda shopping Palm village au Shoperz Babe?β€οΈOdo Lamomy Mwachiluwi twendeni shopping ndogo ya Jumanne. Babe kikiboxer β€οΈ nikukute wapi?View attachment 3098245
Tutaanzia Palm village, tumalizie na Shoppers, tutaangalia twende ya Mikocheni ama ya Masaki. Nakaribia ulipo my heartbeat β₯οΈβ€οΈNikute Mikocheni. unaenda shopping Palm village au Shoperz Babe?β€οΈ
Location please!!!!! nikukabe kidogo.πOdo Lamomy Mwachiluwi twendeni shopping ndogo ya Jumanne. Babe kikiboxer β€οΈ nikukute wapi?View attachment 3098245
aisee mjini watu wanaishi
π π π π π tutakabana, wote tumekutana vibaka. Mimi kibaka wa manzese ππππLocation please!!!!! nikukabe kidogo.π
Niko hapa tandale.
Hit me with your best shot au nikuibe hadi wewe..!π π π π π tutakabana, wote tumekutana vibaka. Mimi kibaka wa manzese ππππ
imeishaOoh! Great, unitafutie na mimi maana umri umeenda na sijawahi kukwea angani
imeisha
Muda wa lunch huu niko free, nicheki mtoto mzuri.Tutaanzia Palm village, tumalizie na Shoppers, tutaangalia twende ya Mikocheni ama ya Masaki. Nakaribia ulipo my heartbeat β₯οΈβ€οΈ
ahahah ushawai achwa solembaView attachment 3098444
Sawa kijana,nimetangulia nasubiri,huko kuanzia boarding desk nimepita kwa kuwaambia kijana wangu anapesa atarekebisha kila kitu ukifika
Tupange safari na mimi bcπOoh kabisa, Mungu ni mwema wakati wote. Hongera sana Mwachiluwi sasa tupange safari tu...