Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 1,012
- 2,317
We mdanganye tu😎Muda wa lunch huu niko free, nicheki mtoto mzuri.
Mkuu smart kabisa watu kama nyinyi mnaweza hata kuongoza nchi
Mkuu nipo airport upo jengo gani terminal 3 au terminal 2View attachment 3098444
Sawa kijana,nimetangulia nasubiri,huko kuanzia boarding desk nimepita kwa kuwaambia kijana wangu anapesa atarekebisha kila kitu ukifika
Mkuu kipi cha uongo hapo🙂We mdanganye tu😎
Hizi picha tu usidanganyike na lolote mkuu.Mkuu smart kabisa watu kama nyinyi mnaweza hata kuongoza nchi
Hili dongo unanirushia mimi sindiyo?Odo Lamomy Mwachiluwi twendeni shopping ndogo ya Jumanne. Babe kikiboxer ❤️ nikukute wapi?View attachment 3098245
We mdanganye tuMkuu kipi cha uongo hapo🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko hizo ni za wadangajiii? Woiiiiih[emoji23][emoji23][emoji23] Uduguu nilikuwa na vibe la kuwakera tyuu.!!
Mi wa kulewa juice za wadangaji??
Nitake radhi kwanza
BL tajiri km tajiri, nikusaidie kukanyaga mafutaa. LolOdo Lamomy Mwachiluwi twendeni shopping ndogo ya Jumanne. Babe kikiboxer [emoji3590] nikukute wapi?View attachment 3098245
Picha ni ya huyo kijana aliyetuma pasaportéMkuu nipo airport upo jengo gani terminal 3 au terminal 2
Tajiri huna baya ishi sanaOdo Lamomy Mwachiluwi twendeni shopping ndogo ya Jumanne. Babe kikiboxer ❤️ nikukute wapi?View attachment 3098245
Tunapendana babe, i love you, my everything alafu ndio mchizi wangu muuni😊NAKUPENDA
Twendezetu luv cocastic mimi nawewe tena.🥰🥰🥰BL tajiri km tajiri, nikusaidie kukanyaga mafutaa. Lol
Daah bongo bado sana 😂
🤩🤩Tunapendana babe, i love you, my everything alafu ndio mchizi wangu muuni😊
Babe Genius Man ...usiku mwema, uniote Iove:Madame B baby uko wapi nimekumiss mpaka basi😍 usilale bila kuniaga baby😘