Selfika na JF: Snap it. Show it

πŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆπŸ™ˆ naona aibu. Niringe nini kipenzi na duniani tunapita tu hapa. Mimi kila mtu kwangu sawa. Ahsante mdogo wangu niliacha uone ili niairudie. Now naifuta πŸ₯°
Nimeona Asante sana Kwa kutubless dadaake
U r So beautiful na roho Yako nzuri sana
 
Mi najikubali mpk shetani ananiogopa πŸ˜‚πŸ˜‚
Niko flat halafu nimekauka km kuni ya kiangazi ila na ole wake nipite mtu anicheke naokota mjiwe nampopoa nao 😹😹
Sidhani km umekauka namna hiyo, macho hayajawahi kutosheka, unakutana na mtu km BL ukikutana na mange tena unageuka, mi naona na mavazi ukijijulia unapendeza ndo maana mademu wote wana mabwana
 
Sidhani km umekauka namna hiyo, macho hayajawahi kutosheka, unakutana na mtu km BL ukikutana na mange tena unageuka, mi naona na mavazi ukijijulia unapendeza ndo maana mademu wote wana mabwana
Kabisa umeongea sawa kabisa. Kila mtu ana uzuri wake, kila mtu yuko unique kwa vitu tofauti, katika mwili hata uso.
 
Haya weka hata niko quote ukifuta haionekani tena.!! Ww weka halafu ntakwambia jinsi ya kufuta 😍😍😍
Weka tumrushe roho the monk 😹
We mavi kweli nani kakwambia uniite huku ujue nilishagaugaya huu uzi
 
Kumbe ukiiacha muda mrefu haifutiki mwalimu wangu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mzee wa hall V ataikuta kwenye comment yako πŸ˜₯
Haha inafutika bana
Punguza uwoga.

Nimekuja wakati muafaka sana.
Afu gym unaenda kufanya nini aisee; wazee wa kuzoom utatukosea sana
 
Kabisa umeongea sawa kabisa. Kila mtu ana uzuri wake, kila mtu yuko unique kwa vitu tofauti, katika mwili hata uso.
Yani km mimi ndo ningekuwa mwanaume ningeitwa fisi nikienda town kuna vidada vimodo naviangalia vilivyo vizuri, nikikutana na tinginya tena napo namsifia kimoyoni nikiona aliyevaa akanoga nae namsifia sijulikani napenda nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…