and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Njoo basi inbox, we mwanamke gani una roho ngumu hivi...?Nyie wazungu wa kwa mtogole mkalale naona mnavizia pic za nyeto πΉπΉ
Nimeona Asante sana Kwa kutubless dadaakeπππππ naona aibu. Niringe nini kipenzi na duniani tunapita tu hapa. Mimi kila mtu kwangu sawa. Ahsante mdogo wangu niliacha uone ili niairudie. Now naifuta π₯°
Kumbe ukiiacha muda mrefu haifutiki mwalimu wangu πππππNaam cc sumbai nimekuwakilisha vyema mkuu
Mi najikubali mpk shetani ananiogopa ππKujikubali ni kipengele kizito,
Kuna mtu niliona ameandika sijui kuattach nini nini sijuiWeka halafu rudi kwenye post yako edit then delete ila makesure nimeiona kwanza ππ
πππ hatajwi huyo ss hivi ataingiaNamsalimu Countrywide kwa jina la Bwana wa majeshi
My Wii wee mzuri alafu unarang nzuri sijui unaogea maziwaπMi najikubali mpk shetani ananiogopa ππ
Niko flat halafu nimekauka km kuni ya kiangazi ila na ole wake nipite mtu anicheke naokota mjiwe nampopoa nao πΉπΉ
Ahsante mrembo wetu Aaliyyah kama ulivyo wewe, lips uwiii JF kuna vifaa haswa na mko kimya π₯°Nimeona Asante sana Kwa kutubless dadaake
U r So beautiful na roho Yako nzuri sana
Wengine hadi za Songesha zinagomaWii zipo mpk za βnipige tafuβ ππ
Sidhani km umekauka namna hiyo, macho hayajawahi kutosheka, unakutana na mtu km BL ukikutana na mange tena unageuka, mi naona na mavazi ukijijulia unapendeza ndo maana mademu wote wana mabwanaMi najikubali mpk shetani ananiogopa ππ
Niko flat halafu nimekauka km kuni ya kiangazi ila na ole wake nipite mtu anicheke naokota mjiwe nampopoa nao πΉπΉ
Asije tuπππ hatajwi huyo ss hivi ataingia
Haya weka hata niko quote ukifuta haionekani tena.!! Ww weka halafu ntakwambia jinsi ya kufuta πππKuna mtu niliona ameandika sijui kuattach nini nini sijui
halafu hamna kuniquote,
Kabisa umeongea sawa kabisa. Kila mtu ana uzuri wake, kila mtu yuko unique kwa vitu tofauti, katika mwili hata uso.Sidhani km umekauka namna hiyo, macho hayajawahi kutosheka, unakutana na mtu km BL ukikutana na mange tena unageuka, mi naona na mavazi ukijijulia unapendeza ndo maana mademu wote wana mabwana
We mavi kweli nani kakwambia uniite huku ujue nilishagaugaya huu uziHaya weka hata niko quote ukifuta haionekani tena.!! Ww weka halafu ntakwambia jinsi ya kufuta πππ
Weka tumrushe roho the monk πΉ
Uzuri niutoe wapi πππMy Wii wee mzuri alafu unarang nzuri sijui unaogea maziwaπ
unatafuta kisingizio usiwekeKuna mtu niliona ameandika sijui kuattach nini nini sijui
halafu hamna kuniquote,
IPO wapi boss
Zipo za lipa deni ili ukopeshwe tena πππWengine hadi za Songesha zinagoma
Haha inafutika banaKumbe ukiiacha muda mrefu haifutiki mwalimu wangu πππππ
Mzee wa hall V ataikuta kwenye comment yako π₯
Yani km mimi ndo ningekuwa mwanaume ningeitwa fisi nikienda town kuna vidada vimodo naviangalia vilivyo vizuri, nikikutana na tinginya tena napo namsifia kimoyoni nikiona aliyevaa akanoga nae namsifia sijulikani napenda niniKabisa umeongea sawa kabisa. Kila mtu ana uzuri wake, kila mtu yuko unique kwa vitu tofauti, katika mwili hata uso.