Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante aisee
Bila wewe nisingeona.

@Kapeace😍😍😍πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Mlikuwa wapi jamani aiseee
Ona chuma hili
🀣🀣🀣kwahiyo mlipotea halafu mmerudi nyie watoto nyiee
 
Haya sasa Nkamu Saint Anne ongoza sala ya usiku tulale πŸ™
Baba yetu uliye Mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako uje
Mapenzi yako yatimizwe hapa Duniani,kama yanavyotimizwa huko Mbinguni
Utupe Leo rizki yetu
Utusamehe makosa yetu
Kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea
Usitutie majaribuni
Bali utuokoe na yule muovu
Kwa kuwa ufalme ni wako
Na nguvu na utukufu
Hata milele
Amina.
 
Asante aisee
Bila wewe nisingeona.

@Kapeace😍😍😍πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Mlikuwa wapi jamani aiseee
Ona chuma hili
🀣🀣🀣🀣

Kula chuma hicho mwamba
 
🀣🀣🀣kwahiyo mlipotea halafu mmerudi nyie watoto nyiee
Kumbe nikifungua Kwa
Aliyekuquote naona

Mnazidi kupika tu rekodi za watuπŸ‘ŒπŸΏπŸ‘ŒπŸΏπŸ”₯πŸ”₯
Dada mzuri uwiii
Hadi simu imepata nurβ™₯️😍😍😍

Aisee
Huyu Mungu
Nyie ndio mtakuwa wale wa udongo wa VIP hatariπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
Mpk asave kwanza ndio afute πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila unajipa hofu ya bure mahi, hata wakibaki nayo hakuna chenye watakufanya kwanza hawakujui wengi wapo mikoani simu wanachaji kwa solar 😹😹😹
Umejuaje...

Mimi huku uchindile mtandao unazingua kinoma

Picha zinakuja na kiza kiza...

Huko mjini kwema??
 
Mpk asave kwanza ndio afute πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ila unajipa hofu ya bure mahi, hata wakibaki nayo hakuna chenye watakufanya kwanza hawakujui wengi wapo mikoani simu wanachaji kwa solar 😹😹😹
Wameisave watapeana huko mafichoni hiyo sio shida yangu, ila kwenye huu uzi itoke, halafu sasa mtu ajichanganye aje aitume kwingine atajua hajui
 
Wote tuseme Amen πŸ™

Haya mabinti sayuni tukalale tuwaachie lindo waebrania 😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…