π€£π€£π€£kwahiyo mlipotea halafu mmerudi nyie watoto nyieeAsante aisee
Bila wewe nisingeona.
@Kapeaceππππ₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Mlikuwa wapi jamani aiseee
Ona chuma hili
Baba yetu uliye MbinguniHaya sasa Nkamu Saint Anne ongoza sala ya usiku tulale π
Wafanye hivi kama waliweka picha na uka quote iripoti post ya mwanzo ripoti andika delete mod ataifuta au unaweza mcheki mod akadelete ize tuBantu Lady nilikua sijui kama quote inabaki na attachment...
Hii leo imenitoa ushamba...
Anyway nimefuta quote yangu kwako...
Siku njema..
tiveMuda gani sasa ? Kijijini sina saa nategemea kuangalia anga.
Mpk asave kwanza ndio afute πππBado sumbai hajaedit tulia kwanza
π€£π€£π€£π€£Asante aisee
Bila wewe nisingeona.
@Kapeaceππππ₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Mlikuwa wapi jamani aiseee
Ona chuma hili
Ahsante sana Mkuu and 100 others nawe pia π€Bantu Lady nilikua sijui kama quote inabaki na attachment...
Hii leo imenitoa ushamba...
Anyway nimefuta quote yangu kwako...
Siku njema..
Hapa sasa tutakuwa tunakuja hata za kudanlod nazo si mnaangalia?Bantu Lady nilikua sijui kama quote inabaki na attachment...
Hii leo imenitoa ushamba...
Anyway nimefuta quote yangu kwako...
Siku njema..
Wewe tena kizee cha kuripoti πΉπΉπΉFanya hivi report hiyo post mod watafuta ize tu
Kumbe nikifungua Kwaπ€£π€£π€£kwahiyo mlipotea halafu mmerudi nyie watoto nyiee
Umejuaje...Mpk asave kwanza ndio afute πππ
Ila unajipa hofu ya bure mahi, hata wakibaki nayo hakuna chenye watakufanya kwanza hawakujui wengi wapo mikoani simu wanachaji kwa solar πΉπΉπΉ
Kazi sanamuozo
Wameisave watapeana huko mafichoni hiyo sio shida yangu, ila kwenye huu uzi itoke, halafu sasa mtu ajichanganye aje aitume kwingine atajua hajuiMpk asave kwanza ndio afute πππ
Ila unajipa hofu ya bure mahi, hata wakibaki nayo hakuna chenye watakufanya kwanza hawakujui wengi wapo mikoani simu wanachaji kwa solar πΉπΉπΉ
Una roho mbaya sana kuliko mwandiko wakoUmejuaje...
Mimi huku uchindile mtandao unazingua kinoma
Picha zinakuja na kiza kiza...
Huko mjini kwema??
Punguza haraka kijana,niko napiga debe nikimaliza nitakuambatanishia WhatsApp.tuma.now sasa nipo.ac
tive
Wote tuseme Amen πBaba yetu uliye Mbinguni
Jina lako litukuzwe
Ufalme wako uje
Mapenzi yako yatimizwe hapa Duniani,kama yanavyotimizwa huko Mbinguni
Utupe Leo rizki yetu
Utusamehe makosa yetu
Kama nasi tunavyowasamehe waliotukosea
Usitutie majaribuni
Bali utuokoe na yule muovu
Kwa kuwa ufalme ni wako
Na nguvu na utukufu
Hata milele
Amina.
Mzee wa papuchi huna bayaKuna maandamano ila kuna Kapeace alafu kuna Bantu Lady
Ebhanaeeeee π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
Kwa mamlaka niliyo pewa kutoka kusini mwa jf nakuambia pumzika ulale unono Mimi kijana kutoka kigamboni nakutakia usiku mwema na nitakusomea Dua kwa mungu akukinge na wachawi wenye husda inshallah πMniache nilale sasa kesho nina ratiba full time