We acha tu mjukuu wangu.Hongera sana sura inaonekana Ina furaha
Ngoja aje mwenyeweMm naomba muendelezo wa whatsap groupπππ
Lamomy
Mjukuu mm na uzee huu ππWe acha tu mjukuu wangu.
Lamomy ndio comedian sasaπMnanifurahisha na maneno yenu. Hamjui tu. Dah mkianza msiache kunitag tu. Nicheke miye maisha yenyewe mafupi haya.
Napenda rangi unaonekana ujanani ulikuwa na jifua pana pana
Weee umenikosha sana hapo kweny kumkanda Mlibya..ππππ mtani..Dada nzuri ndani ya mjengoπ₯π₯π₯π₯
Anaupiga mwingi kama mtani alivyochapa Al Ahly Tripoliπ₯π₯π₯π₯π₯
Weka kitu dada black beauty π
Tusuuze macho
Nakazia Kalpana Kwa heshima na taadhima tunaomba utubariki tupate kula vizuri jioni bila wewe huu Uzi haunogiDada nzuri ndani ya mjengoπ₯π₯π₯π₯
Anaupiga mwingi kama mtani alivyochapa Al Ahly Tripoliπ₯π₯π₯π₯π₯
Weka kitu dada black beauty π
Tusuuze macho
EwaaWeee umenikosha sana hapo kweny kumkanda Mlibya..ππππ mtani..
Ngoja nitafute pozi nitatupia soon
Mashabiki wa Simba hawanaga mbambambaNakazia Kalpana Kwa heshima na taadhima tunaomba utubariki tupate kula vizuri jioni bila wewe huu Uzi haunogi
Fanya mambo bas dadaUsinijaze basi sisy...πππ
Washamfundisha uhuni, wapo 3 kaa mbali naoUsinijaze basi sisy...πππ
Yani lazima atupie sie hatuna noma πMashabiki wa Simba hawanaga mbambamba
Anatupia huyuπ₯π₯
Nimetuma au haijaja?? Hahahahha
Wera weraaa roho imesuuzika
Imekuja dada AsanteNimetuma au haijaja?? Hahahahha