Selfika na JF: Snap it. Show it

Odo akupe gari moja anayo mengi kapaki hayatumii.!

Kkoo unafanya nini na joto lote hili?
Njoo nikupe kijora umpelekee mama 🀣🀣🀣

Nakutumia location sawa?! 😜
Na mimi naomba kijora cha kuombea rejesho
 
hahaha
Mtoto mzuri acha patulie bana.
Ulivyo kazuri na kupenda vita sasa.

Siku utakunyugwa
Sema siwezi kukuacha
Weeh nna mkanda wa boxer shauri yako 😹😹

Uniache umuachie nani kwa mfano? 🀣🀣
Mwambie dada ako basi atupie pic nyingine mi die hard fan wake 😹
 
Mnywani do the needful nisafishe macho nataka nikabandike mandondo yawahi kuiva niivishe mapema niwahi Mechi ya mtu na mdogo wake ujue nasubiria hapa usiniangushee

πŸ™‡πŸ™‡πŸ™‡πŸ™‡
Nami nasubiri utupie mahi 😜
 
Ulivyonahasira si utawaangamiza
Na mashetani yako yakikupanda hakuna wa kukutuliza. Mi mwenyewe hapo Huwa nakunyari.
🀣🀣🀣
Chino mi sinaga hasira hapa napatumia kuburudika km hivi wala sipachukulii serious bana.!!

Huu Ulimwengu wa fake I’d ni sehemu ya kutolea stress ukiona unalala unawaza ya huku ujue una tatizo inatakiwa umuone therapist mapema 😺
 
Koteeee....yaani hapa nikiona IST natimua mbio najua ni watu wa OYA wamenifata 🀣🀣🀣😍
🀣🀣🀣 Nasikia hao OYA wanadai km una mimba unajifungua kabla y’a siku zako.!!

Mwambie shem akulipie bana.!
Umenikumbusha nna mamkubwa wangu anakopaga mikopo halafu mume wake ndiye mlipaji, akiulizwa pesa umepeleka wapi Hana majibu ya kueleweka.!
Kisa mzuri halafu chotara basi anampelekesha ba mkubwa had huruma. 🀣🀣
 
Sure
Kitaa uwe mnyonge mpaka jf
Haipo hio.

Although kuna watu wanazikimbia kabisa I'd, kuna mda mnapelekeana sana moto to the extent mtu anashindwa vumulia.
 
Utakuwa umetengeneza za kutosha, haya umeshaselfika au bado?
Wapi hizi hizi pesa mbuzi za kuvimbia waebrania πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mi nna mimba dr kanikatiza kujipiga pic, naomba uselfike nione hips mahi 😍
 
Jamaa sio hawa wanakunyatia mpaka dirishani wanakaa wanasikilizia kama kuna minong'o o yoyote ndani
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… wanajua kudai si mchezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…