Selfika na JF: Snap it. Show it

Shangazi akikaa mbele atamfanya sele ashindwe kuingiza gia hips kubwa 🤣🤣🤣

Yeye akae nyuma huku niwe nampepea..!
Hivi shem anasukuma ndinga gani? Isijekuwa Lc 300 😜
Shangazi atakuwa anaona heri mumnyonge
Kuliko kuruhusu mimi nikae mbele kwenye gari yake na Sele
 
Hivi Bantu ana haja ya Tiz kweli!?
Asituangushe

Tunasubiri picha
Comedian wake tumefika🔥
Bantu Lady
Atakuwa anaandaa pic konki ya kunyakua kombe, akishinda boss tutapata vocha za million kila mmoja nkamu 😂😂

Ila kwa shangazi ndizi na dagaa zinatuita 😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…