Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Shangazi atakuwa anaona heri mumnyongeShangazi akikaa mbele atamfanya sele ashindwe kuingiza gia hips kubwa 🤣🤣🤣
Yeye akae nyuma huku niwe nampepea..!
Hivi shem anasukuma ndinga gani? Isijekuwa Lc 300 😜
Yule info zoteNgoja tukaulize kacoca
Atakuwa anaandaa pic konki ya kunyakua kombe, akishinda boss tutapata vocha za million kila mmoja nkamu 😂😂
Shangazi itabidi avumilie kwa siku moja sio mbaya 😂😂Shangazi atakuwa anaona heri mumnyonge
Kuliko kuruhusu mimi nikae mbele kwenye gari yake na Sele
🤣😜😜😜😂😂😂 Weeh kwani na shem yule mmeachana??
Sa itakuwaje?!
Amen nashukuru Mungu kwakweli!Nilikuwa nasubiri ukae sawa wizo halafu uje useme.l🥰
Unataka iweje wizo
Nitumie details zote tufanye mambo
Unataka shangazi apasuke weweShangazi itabidi avumilie kwa siku moja sio mbaya 😂😂
🤣🤣🤣Babu km babuTayana-wog usimpige babu maombi ana mapepo bana 😂😂😂
Hawezi km hataki tutamshusha aje na boda asitutanie hata km gari la uncle sele 😹Unataka shangazi apasuke wewe
Babu hana baya.. kanifatie korosho zangu 🤣🤣🤣🤣🤣Babu km babu
Tupia Tayana nione body kinanda mahi 😜Eeh selfika pameanza kuchangamka😜
Picha tafadhali
Mie huyu😜Babu hana baya.. kanifatie korosho zangu 🤣🤣
Utafanya shangazi atuwinde na shabaha aiseeHawezi km hataki tutamshusha aje na boda asitutanie hata km gari la uncle sele 😹
WeeeeTupia Tayana nione body kinanda mahi 😜
Ndio wewe 😂😂Mie huyu😜
Sawa mwambie atume nauli niende
🤣🤣🤣 Nkamu shangazi hana jeuri hiyo si ndio washika pochi yake..!Utafanya shangazi atuwinde na shabaha aisee
Fanya chap mremboWeeee
Ushatuombea kifo😁😁Huendi mbinguni ujue 😂! Hahaha
Wacha tuendelee kuutendea uzi haki
Hauna kafoto Karibu hapo unibles nikachochee mandondo Yangu vizuri????