Selfika na JF: Snap it. Show it

mkuu maswala baadae yakuanza kuandika RIP hatutaki!,tuanze kuisema serikali baadae tushikwe tubinywe vinyanya mshenzi!..🤣
🤣😁😁😁😁 Hamna Nina mbwa wengi hapa mtaani na ninamiliki silaha na Kuna camera za kutosha wakija watu wasiojulikana najua jinsi ya kudili nao
 
🤣😁😁😁😁 Hamna Nina mbwa wengi hapa mtaani na ninamiliki silaha na Kuna camera za kutosha wakija watu wasiojulikana najua jinsi ya kudili nao
kuna kaujumbe dk mbili tu zilizopita nimekasoma kanasema hivi "unaweza ukawa unamiliki bunduki lkn ukatekwa na bar maid!"..😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…