Blank page
JF-Expert Member
- May 28, 2015
- 5,487
- 4,817
Tamu sana hizo dude, nimepiga za kutosha huko West Africa.Nimeipata huku mpakani, ina ladha nzuri sana nimeipenda kwa kweli...
Hiz mtu akinywa ngapi analewa?
😍Yaaan, hiyo roast
Alafu tamu balaa😍Yaaan, hiyo roast
Naomba nimuwekee oda ndugu yangu Vincenzo Jr ya roast....Kama ahadi ya ushindi WA wananchiAlafu tamu balaa
Ilo limeisha tajirNaomba nimuwekee oda ndugu yangu Vincenzo Jr ya roast....Kama ahadi ya ushindi WA wananchi
Kwema vip weweKwema humu
Unataka kujifunza kulewa Mjukuu?Hiz mtu akinywa ngapi analewa?
Nikuletee mkuuHiz mtu akinywa ngapi analewa?
Vitu adimu ivo mzee wa rb 800 na juice ile ya njano😍Yaaan, hiyo roast
Nakiomba babuKitabu cha Vijana kukisoma na kupata maarifa, msije kushindwa kununua Plot Masaki na Mbezi beach kwa kushindwa kuwekeza kama Babu zenu hapa 🤗
View attachment 3133327
Niazime BabuKitabu cha Vijana kukisoma na kupata maarifa, msije kushindwa kununua Plot Masaki na Mbezi beach kwa kushindwa kuwekeza kama Babu zenu hapa 🤗
View attachment 3133327
The great Mshana mwenye uzi wako.