Selfika na JF: Snap it. Show it

Ahahah kweli umekuta kapenda au ndio vile tena
Kaka acha tu ,watu waongo Sana mzee .
Nimefika nikamkuta amepukutika shepu hana lilishaisha na dunia inamwandama ,Basi nikaishia kuwa baba mlezi na Sasa nawaza nirudi zangu Mbeya nikaandae mashamba ya viazi kuona Kama nitafidia hela nilizochezea kwenye ujinga huu
 
Ahahah kwahiy hanog ata kupashwa kipolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…