Ndio akina nani hao? Weka picha acha manenowale classics wote wamepotea humu......
Hongera kama ulikuwa na weekend njema.Weeknd iliisha poa maangaiko yana endela
Zulu man Grahams De Opera Half american View attachment 3173648
Ahaha pole next time tena nikija bongo iyoHongera kama ulikuwa na weekend njema.
Kwangu ilikuwa ni kinyume chake, baridi kidogo liniue Kwa upweke Babu yenu 🤗
Nimetafuta nyimbo zetu za Mwaka 47, za kunifariji nimekosa.
Nimeangukia kwenye nyimbo ya Kijana mwenzenu Darassa ft Hamornize inaitwa mazoea.
View attachment 3173670
Nimebaki kuicheza Kwa kuirudia kwenye redio yangu ya Mkulima japo kupunguza mawazo 😜
Hello Tuesday 🥂
Nilipitiwa ase mamb mengiSafi kabisa kijana ,ulimwagilia moyo bila shida.
Tulielewana unipeleke hizo sehemu lakini naona kimyaaaaa!!!!
umeipata hii sehemu ufike chaaap?? Ndani ya dk 20 kuanzia sasa?View attachment 3173715
Poa poa, muhimu Uhai.Ahaha pole next time tena nikija bongo iyo
Mdogo mdogo tushafika A town mshamba_hachekwi Fake P Zulu manPoa poa, muhimu Uhai.
Maana sisi wengine umri umeshatutupa Mkono Kwa Uzee 🤗
Hongera sana dogo
Ahahah creativty muhimu sanaHongera sana dogo
Naona miaka hii mmeboreshewa sana Sare zenu
Mwaka 47 wakati tunapigana na Nduli Iddi Amin hatukuwa na Sare nzuri kama zenu 🙌
karibu sana A town
Nishapazoea nowkaribu sana A town
safi utulize kichwa mambo ya kujirusha rusha uacheNishapazoea now
wapo wapi?Wapo Mbona
Mi nilikuwa hoi. Niliugua mafua ya ajabu kweli sijawahi ugua mafua ya namna hii. Na homa kali mwili ulikuwa umechemka na kutetemeka.Weeknd iliisha poa maangaiko yana endela
Zulu man Grahams De Opera Half american View attachment 3173648
Pole sana Mkuu, Siku nyingine ukipigwa na mafua, hakikisha unafanya mazoezi ya kukimbia.Mi nilikuwa hoi. Niliugua mafua ya ajabu kweli sijawahi ugua mafua ya namna hii. Na homa kali mwili ulikuwa umechemka na kutetemeka.