Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23] Umewafanya nini hao wadada..... Mkuu umepambana sana

Una msimamo sana mkuu, hao wadada kweli ni wazuri ila wameachwa mbali sana na huyo aliedanganya picha

Ni mawazo yangu tuu.. Sitaki kushambuliwa
Ukweli unachoma ndugu...[emoji23][emoji23] yani wana hasira Ningekuwa karibu wangeshanila nyama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…