Nitaenda kuwaroga wanioe.
hahahhaahaha[emoji23][emoji23][emoji23]umeicrop sana
Na ningekuwa sijaoa pombe ningezama piemu
Zile lips haujui tu nikiasi zilinichanganya ujueMjeda mwenyewe huyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wembamba sio shida.. Shida inakuja usiku umelala ukishtuka unaweza ukapiga mayowe umelala na nyoka kumbe ni mtu kavaa night dress nyeusi au kijivu
Hakuna namna wataoa tu lile zigo sio la kitoto umetupa heshima asante mwaego maana tunachambwaga humu doh
Hakuna namna wataoa tu lile zigo sio la kitoto umetupa heshima asante mwaego maana tunachambwaga humu doh
View attachment 1219853
Tunaendeleza haka ka mila
Life isn't fair at all [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pic ya hili zigo hebu fatilia post zake huyo miminimama km hajaifuta sijui tu mi sikuisaveNitag kwenye picha yake dia, maana nimepitwa
Bonge la dude zigo zigo kweli ebanaeeehKumbe na yeye katuwakilisha vizuri, namuweka reserve michambo ikianza atatupa msaada
Mshana msaada wako tafadhali pombe aachike shost yangu miminimama apate mume
Bonge la dude zigo zigo kweli ebanaeeeh
kwema mkuu
Hili ni zigo ilikuwa asubuhi na mapema nikaifuma nikafurahi mwenyeweTule ubwabwa jamani ila naombeni picha yakee kiruuuu kila sehemu anasifiwa kuna nini jamani
Ha ha haaaa ukighaili naenda kusema twendeUkanigandishe? Twende mguu kwa mguu