[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
MUNGU nibariki niwe chibonge
Matumizi ya kujenga taifa.
Nitakuja omba japo kibarua Cha kufagia uwanja na kuosha vyombo
Nimepitia huu uzi comment moja baada ya moja.
Sikutaka kucomment hadi nilipoona mjadala kuhusu picha zinazosemekana ni mwanadada Scorpio me zikitumika kukandamiza warembo waliopost picha zao huku.
View attachment 1219660
Hii ni picha aliyopost akiwa ufukweni na hapo alipoitoa hiyo picha.
View attachment 1219661View attachment 1219662
Kwa ambao mlikuwa mnashobokea hizi picha huyu mdada sio mtanzania wala sio Mwafrika.
Hivo msikandie vyakwenu kwa kusifia vya kizungu/kiarabu.
Hizo ni picha alizopost Scorpio akisema ndio katoka kuniaje.
View attachment 1219664View attachment 1219665
Hiyo ya miguu haina haja ya maelezo.
Na nyinginezo ni hii View attachment 1219666
Lengo la kusema haya ni kuwakumbusha nyie vijana msidanganywe na rangi utamu wa chai ni sukari.
Msitamani ngozi nyeupe na kuona uafrika ni old skuli.
Dada zangu mnaotuma picha zenu mkiwa mazingira ya Kiafrika msife moyo mpaka sasa picha zenu ni bora kuliko za huyu Mzungu.
Naendelea kufuatilia.
Humuhumu atapatikana
Hii statement sometimes uwa naikubali sometimes naikataawakati sie ndio mahodari wa kupenda na kutunza.
Nimemsoma nimependa sana.
Kuna jamaa alicoment kwenye picha ya Scorpio kwamba alijua tuu bimdada ni kisu instinct zake hazijawahi kumdanganya baada ya kuona picha kadhibitisha.
.
Nilipasuka kwa kicheko, bora hata bimdada aliwawekea picha waliokuwa nayo kwenye akili zao.
haha hahaha hakikaUmekulaa na kushiba na maji kwa sana.
Ngoja nikajaribu bahati yangu aisee siwezi kumuacha mtoto mzuri mwenye neema za Allah abebwe na mimi nipo.
Aisee mimi sijaziona hizo neema umewahi sana kuzifutaNitakubeba usijali
Weka space ili Sakayo isomeke bila @Sakayo nitampa lile la jana
@SakayoView attachment 1219901 Hilo
Nisogezee nami iyo moja nione hizo neemaFuta tu ambae hajaona itabidi walipie nimejisevia moja tu
Nje ya mada... Je tunaweza kuweka kama hiz? Nimekumbuka mbali sana.... Khantwe njoo tukumbushane ile mada ya chupi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
My apology kwa kutoka nje ya mada View attachment 1219902
Ngoja nikajaribu bahati yangu aisee siwezi kumuacha mtoto mzuri mwenye neema za Allah abebwe na mimi nipo.
Sitakuja thubutu kukugalagaza kwenye matope student.Miss u too ticher.
Naendelea Poa, nimeona mkono.
Kidogo tu mumieeKumbe we mtundu eee
Nisogezee nami iyo moja nione hizo neema