@kapeace
atakuwa Amezi save mwambie akuonyeshe
Nimekwambia mimi dude likitupiwa kaa chonjo mi mwnyw kidogo tu nipitweHivi inakuaje napitwa kila mara nsizifaidi hizo neema yani huu Uzi utafanya shughuli zangu za maendeleo zisimame kwa muda daah
Hahahaha poleMimi nilitaka huyo mwanamke ateseke hivi ndo nini umefanya
EwaaaaaSakayo nitampa lile la jana
@SakayoView attachment 1219901 Hilo
Yani kila mda napitwa mimi tu aiseeNimekwambia mimi dude likitupiwa kaa chonjo mi mwnyw kidogo tu nipitwe
Za juziNatupia tenaView attachment 1219907
Ndiooooo lazima iwe ya tofautiYakwangu inabidi iwe ya upendeleo haswa haswa student.
Hahaaaa,unajua kinyakyusa eeeh? Inyafu [emoji1] [emoji1] [emoji1] ,nimecheka mnoo[emoji3][emoji3]mbako inyafu
Naomba pichaaaHamna miminimama katumalizia maconfidence haiwezekani tako tu upana wote ule wakati wengine mtuno kuonekana ni mpk ujibinue hasa,,, tusivunjane
Hahaaha naokoteza tuuHahaaaa,unajua kinyakyusa eeeh? Inyafu [emoji1] [emoji1] [emoji1] ,nimecheka mnoo
Awww jamani kuna watu mna mioyo ya kipekee sana sitaki kuamini kwamba umefanya kile ambacho nilitakiwa nifanye mimi?? Kurudi kule juu??Unilipe Sasa Maana nimepanda mlima
Ona sasa!Nilijua watu msiokuwa na wowo mtakuja kupinga hapa watu wenye umbo Kama la nyoka mfano mdogo ako Saint anne pamoja na wewe
Na kisimu chako cha itel
Bado sijaona maana inaonekana wengi wenu hamjikubali mnaishia kwenda kuchukua picha google na kuzileta humu, tafasiri yake ni kwamba bado hamjiamini...
Wachache sana wameweka picha zao halisi na wengi ni vibonge, na wale wenye midomo sana humu naona asilimia kubwa wameishia kwenda kuchukua picha google...
Bado naamini nakojolea sehemu nzuri sana...
Ndiyo boss..Kwani huyo ni wewe?
Njoo na pochiNaja
Kweli tenajamani jamani!!