T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Mkuu situmii kilevi[emoji23]Bado hakizidi (K) -------VANT [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dada usitoe jamaniiiiiNatoa sasa.
Njoo unywe soup
Ndo wanaisha akiba ilokuwepo. Tokea mwezi March, ila yataka moyo kuwahifadhiNaomba niletee na mie.
Jamani pm tena.
Na Mungu akusaidieNgoja nijitahidi
Kusoma kwangu na hapa hakuna hata mahusiano, yaani umeamua kunisema kabisaaa hiviii 😂😂Wewe si unasoma bado
[emoji8]Nimemuelewesha kaelewa kama vile asipoelewa hapa basi tena
Basi mi ni mweupe tena jeupe hasa nipende tuHapana una maneno fulani katika nyuzi, ulivyoweka hiyo picha sikuwa online katika kupitia nyuzi ikaonekana umeifuta so nikaendelea kupekua nikaipata niwe mkweli na muwazi kuanzia shingoni hadi kwenye unyayo uko vizuri...
Mimi ugonjwa wangu ni uweupe aise, wadad wenye rangi ya chocolate na weusi sio kipaumbele ingawa inatokea mara moja mnajikuta tu mko kitandani...
Kusoma kwangu na hapa hakuna hata mahusiano, yaani umeamua kunisema kabisaaa hiviii [emoji23][emoji23]
Nakuletea PM isiyo na filter [emoji30]
Safi sana umuombe na msamaha kwa muamalaNi PM id yake mpya sitamweka wazi, naapa kama Mh. Rais alivyoapa kuwa amewasamehe wahujumu uchumi kwa moyo mmoja na wala wasiwe na wasiwasi warudishe hizo hela na kukiri makosa yao..
Amekuongopea
Sawa Dada
#kitotochawatukistaarabumie [emoji23]
Nilikuja nikagonga mlinzi badala ya kufungua geti si katoka mbwa [emoji1][emoji1][emoji1]
Basi mi ni mweupe tena jeupe hasa nipende tu
Wasiwasi wao tu, mimi nimtulivu sana.