Sawa mkuu nimekubali, ila umeanzia mbali mara 'chemical concentration' while mtoto wa watu napaka mafuta ya mgando.!!Jamani labda useme hiyo mikono sio yako... Ila kama ni yako you are like that
Huyu jamaa atakuwa muha wa kigoma: mbishi kama niniHivyo vingine sijui ila kwa ufupi hapana unanikosea kwakweli.!! Usinifanye nitume my full pic hapa kwa khasira.!!
Kuliko nitume full ni bora nikubali ameshinda mkuu.jamaa mbishi sana huyo tuma full aone maana kazidi ubishi
[emoji3][emoji3] naona unatake advantage chaaapjamaa mbishi sana huyo tuma full aone maana kazidi ubishi
[emoji23][emoji23]mnamuonea bwana. Hivi mlozi analizwaje na mapenziNadhani stress za demiss ndo zilimmaliza mpaka kawa kimbau mbau na lozi wake
And you are age is 35+ or early 40's...Sawa mkuu nimekubali, ila umeanzia mbali mara 'chemical concentration' while mtoto wa watu napaka mafuta ya mgando.!!
you must be kidding me, nijichomolee betri mwenyewe kweli..!?Huyu jamaa atakuwa muha wa kigoma: mbishi kama nini
Embu mtibitishie ili anyamaze kabisa
Akithibitisha give me a quoteHuyu jamaa atakuwa muha wa kigoma: mbishi kama nini
Embu mtibitishie ili anyamaze kabisa
don't force me to do this please.!!And you are age is 35+ or early 40's...
And you are age is 35+ or early 40's...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ebu uko unataka kubishaAiseee
Do you know that, pictures speak alot??don't force me to do this please.!!
Kuna nini cha ajabuNjoo na huku bhas
[emoji2][emoji3][emoji2][emoji3]Mbona umemkazia sana mkuu. Kama umemweliwa usipindishe nenda pm.
Nitajificha nyuma ya mgongo wako aiseeeTutaenda wote siku moja usiogope
Mwambie.!!