Wamuogopaa Gentries??Mmmhhh
I speak from ma own experience. Godoro itabid ulivike pampas
HahahahahAkuuuu nisije nikazileta huku
Hahaha nmeshaweka picha bhanaBaba Swalehe pita huku
Embu tuletee na picha ya Dada ako hapa kwanzaUtafikiri dereva wa mwendo kasi angeifuta tu.
Alishatupia mbonaa
AbeeeUko bomba sana wewe mwanamke
Aisee unasemaje..?Sasa mbona siwaelewi tena..
Kwani kua na wabebi wawili kuna chidaaa
Usijali mwana.. ngoja ataje tuchange. Ukute ni ada ya Tanganyika Internacional school
Hata choo pia tutauza..Hamna shida hata nyumba tutauza
I'm experiencing De Javu on this Thread right now
Kwahiyo unataka ufaidi mwenyeweAisee unasemaje..?
NdiwoooAisee wifi tena
Wewe huelewekiiWamuogopaa Gentries??