Ha ha haaa ngija kwanza nikabiziwe lindoHebu nitumie full nikuone.
wewe utakuwa fukunyuku mbeleko bila shakaVipi, hujapenda mguu wangu?
View attachment 1217461
Njoo uichukueeUsinipe pole nitajionea huruma[emoji58]
Ndiwooonaruhusiwa kuketi
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]Wacha weeeeeh!!!
Asante sana jamani dearUmependeza sana hayo mapigo nimeyaelewa, umetokelezea
Tuanze urafikiMimi ninao je wewe una moyo kama huo? Naweza kukutumia 5,000 ukale chips kuku mimi nikala mihogo ya jero.
Abeeee[emoji23][emoji23][emoji23] Unaumwa wewe umeshindwa kuni text ngoja nimwambie sakayo wangu
Tuanze urafiki
Utaelewa tuuu dearHahahaa!
Samahani mumie hapo pa bibi na bwana sijaelewa..!
Nimezikula mimiNaombaa nione kucha
Ipo juu kabisaa jamaniYako unaweka saa ngapi,naisubiria kwa hamu ujue
Njoo nikuambieMututajie na mahala jamani tutoe ushmba?