Wachomoa betri mlikuwa mnaponda kuwa hamna watoto wakali humu ndani,,,, kama nawaona mlivyoaibika
Uzi huu sijapost badoPost # ngapi ?
Ila kweli kuna watoto visu humu hatari
Na hapo bado haujatupia na we kapicha kako. Ukitupia si zitafika 10000 kabisa.Daah huu uzi comments zimeshafika 1K [emoji134][emoji134][emoji134]
Tafadhali unaishi nae jiran
Uzi huu sijapost bado
Wewe wacha uongo hiyo picha ni ya jackie hapie yule muigizaji wa Nigeria ila ni mgana, anaigiza sana Nigeria movies. Hii picha yake umeitoa insta.
Wacha bwana, hii ndio ya kwako?
ndio, ndio mimi huyoWacha bwana, hii ndio ya kwako?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimezikula mimi
Wewe wacha uongo hiyo picha ni ya jackie hapie yule muigizaji wa Nigeria ila ni mgana, anaigiza sana Nigeria movies. Hii picha yake umeitoa insta.
Wewe wacha uongo hiyo picha ni ya jackie hapie yule muigizaji wa Nigeria ila ni mgana, anaigiza sana Nigeria movies. Hii picha yake umeitoa insta.
Uko vizurindio, ndio mimi huyo
Hello bibieHalafu ambao hawana vitambi si hawana hela dada eeh
Kesho must ntakuja na wadau, nipe majila.Nimekuona.. Kesho tukutane kilinge cha mee
sanaUko vizuri
Una mavidole ya miguu mabaya 😝😝ziwa umelipiga jeki la Dumper la kubebea mchanga wa madini
hahaha mate unazinguaUko vizuri