Si unaona yuko vizuri matehahaha mate unazingua
Leo umetumia kijiti cha wapi aisee
Una mavidole ya miguu mabaya [emoji13][emoji13]ziwa umelipiga jeki la Dumper la kubebea mchanga wa madini
Aise kwamba mpaka umeizoom na microscope ukaona ni chafu, sawa nitamwambia.Mwambie shemeji akufulie hii trauza we jamaa
Jackie sio Mnaijeria bali m-Ghana. BTW unadhani wote waliobandika viselfie hapa ni vya kwao?Wewe wacha uongo hiyo picha ni ya jackie hapie yule muigizaji wa Nigeria ila ni mgana, anaigiza sana Nigeria movies. Hii picha yake umeitoa insta.
Mbona watu washaisifia sasa, tena ina sifa nyingi[emoji26][emoji26]Wewe wacha uongo hiyo picha ni ya jackie hapie yule muigizaji wa Nigeria ila ni mgana, anaigiza sana Nigeria movies. Hii picha yake umeitoa insta.
Bro mbona unapendelea sana kukashifu wanawake hivoUna mavidole ya miguu mabaya [emoji13][emoji13]ziwa umelipiga jeki la Dumper la kubebea mchanga wa madini
Wewe ni huyu wa mbele au yule wa nyuma?[emoji41][emoji41][emoji41] View attachment 1217688
Babe kumbe unaangaliaga muvi?Jackie sio Mnaijeria bali m-Ghana. BTW unadhani wote waliobandika viselfie hapa ni vya kwao?
Wewe wacha uongo hiyo picha ni ya jackie hapie yule muigizaji wa Nigeria ila ni mgana, anaigiza sana Nigeria movies. Hii picha yake umeitoa insta.
[/Ujue alikuwa anaongoza ligi na pointi 100 kama ni hivo kadanganya ataponywa pointi zote leta kwanza ushahid wa full picha
kumbe izo ni juice?Mimi sinywi pombe na kunywa valuer na nyagi
brother kama kawaida na kashati kako kakupigia pichaSangoma usiniroge. View attachment 1217189
Nasubiria ya kwako mpendwa 😁Wachomoa betri mlikuwa mnaponda kuwa hamna watoto wakali humu ndani,,,, kama nawaona mlivyoaibika
*Jackie AppiahWewe wacha uongo hiyo picha ni ya jackie hapie yule muigizaji wa Nigeria ila ni mgana, anaigiza sana Nigeria movies. Hii picha yake umeitoa insta.
*Jackie AppiahWewe wacha uongo hiyo picha ni ya jackie hapie yule muigizaji wa Nigeria ila ni mgana, anaigiza sana Nigeria movies. Hii picha yake umeitoa insta.
Nasubiria ya kwako mpendwa [emoji16]
😆😆😆Tupiamo basi hata kidoleEndeleeni kusubiri hivyo hivyo,,