Yani Nijichomolee "beterii"[emoji38][emoji38][emoji38]Tupiamo basi hata kidole
na mimi nasubir mkuuEndeleeni kusubiri hivyo hivyo,,
na mimi nasubir mkuu
Hahahaha sana babe wangu. Sana tu yaniBabe kumbe unaangaliaga muvi?
Sio edit hii
😆😆Mara moja moja sio mbayaYani Nijichomolee "beterii"
ndiouyo ni wewe unasubiri MKUYENGE?
Eneo tulivu lenye hisia kali sana na jibu la kwanini tulizaliwa na kuishi na eneo lenye majibu ya after deathHakunaga kelele kule
Mimi nina miaka robo karne.
Ukiweka ya kwako nitag nije nilipe na hii ya kwangu niliyokata kichwaUnamaliza nafasi za watuma picha.
Jackie Appiahwatu badala muweke picha mnajaza tu maandishi.
wadada wekeni saa 6 zenu hapa tuone
That's it...! [emoji109][emoji123][emoji2210][emoji2210][emoji2210][emoji2210]View attachment 1217725