Kichwa kama mbegu ya ubuyu!
Yaani nilihisi tu wewe ni mtoto fulani amazing.... instincts zangu hazijawahi kunidanganya!15 minutes beforeView attachment 1218204
Namuonea wivu jamaaAnd off we goView attachment 1218205
Ntafanyaje sasa ndugu yangu, si unajua hatuchagui vitu vingine? Unajikubali tu.
Kill them babe...15 minutes beforeView attachment 1218204
Namuonea wivu jamaa
After game, kesheni mkiomba!! Off to where?And off we goView attachment 1218205
Short chassis
Namuonea wivu jamaa
Picha gani?Baharia acha longolongo tupia picha. Jamaa unamjua bwanawee utendee uzi haki.
Picha gani?
Picha gani?
Unajua hata mpira sio kila mtu anacheza, wengi ni watazamaji. Hao ndio sisiSoma tu heading, pitiapitia post za wakuu, utaelewa nini kinaendelea jemedari.
Niko nae hapaLala, leo agata edward haji gheto!
Unajua hata mpira sio kila mtu anacheza, wengi ni watazamaji. Hao ndio sisi
Niko nae hapa
Lala, leo agata edward haji gheto!