[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1218442
Men at work.Hizi ndio picha sasa [emoji123][emoji123][emoji109]
Mkuu vitoke wapi na hili mbilinge la maishaWa jei efu hawana vitambi
tafadhali naomba unikumbuke kwenye ufalme wako dada
AmegomaHivi Saint anne hujauona huu uzi jamani?? Tunasubiri picha yako eti!!
Hapana jamaniUbahili tu ndio unamzeesha hana uzee wowote
Hamna uzee hapoo...Mbona hata mimi pia ni mzee??
Sangoma kumbe una kiatu kizuri hivyo!
Huyu ni Me au Ke?
Hebu huko!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tangu lini nikakudanganya mimi jamani
Mkuu kwema!! natumai jioni nitakuja hapo maeneo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12]chombo ya wana... Sukari ya wanyangeView attachment 1218454
Na mimi.Megundua mzee JF ni babu Asprin pekee
Cha jumapiliView attachment 1218453