Kwamba zipi sio picha?Hizi ndio picha sasa
Vikatuni[emoji23]
Hahahaha ngoja nimuendee pm usikute kapita kimya tuAmegoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shida tu zile.. Niamini mimi hana uzee wowote[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hebu huko!!
Njoo chemba kwanza... Kisha onesha nia [emoji15][emoji12]
Aahhhh wapiNa mimi.
Uncle wako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acha ubishi auntie, kibaoni pale na yule sijui alikuwa rafiki yako?!
Hilo nalo lawezekanaHahahaha ngoja nimuendee pm usikute kapita kimya tu
WoyooooooUncle wako[emoji23][emoji23][emoji23]
Aahhhh wapi
Jana kwa jinsi nilivyokuona kwa ukaribu uko 28
[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]Woyoooooo
Hallelujah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe nawe hukuiona eeh!! Afadhali.Weka tena
Kumbe uliweka humuu!?Hivi kumbe huwa unadhani mimi mtoto mwenzio eeh? Halafu niliitoa haraka najua hukuiona.