[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hiyo saa naiomba nimpatie wife Zawadi ya birthday.
BarikiwaNi nzuri.
Hebu apia kama ni kweli.Lakini huna hela.
Pole sana jamaniOmbi : Mnaoweka picha zenu msiwe mnazifuta.
Maana tulio wengi tunapishana na kurasa za huu uzi,sasa tunapotaka kurudi kuona picha tunakuta hola.
Babu tupia picha yakoLeo ndo nimeamini Jay Efu imejaa watoto na wajukuu!!!
Unikumbuke ktk huu ufalme.Ni kweli ni mjanja mjanja, ila ile picha ilikuwa yangu.
Na ndio maana niliifuta mapema baada ya kuambiwa sijacrop sura inaonekana.
Fungua pm nikutumie nyingine.
Nilikuwa na ndula moja FILA matata sana ile ilipanda ndege kuja bongo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12]chombo ya wana... Sukari ya wanyangeView attachment 1218454
Haahah kwa hiyo mkuu unatafuta picha za watu.dahOmbi : Mnaoweka picha zenu msiwe mnazifuta.
Maana tulio wengi tunapishana na kurasa za huu uzi,sasa tunapotaka kurudi kuona picha tunakuta hola.
Kama unazo hebu nitumie.Hebu apia kama ni kweli.
Nazionaje sasa ? Kama vipi nipe namba za post.Ziko kama nne hivi
Hongera mkuuHuyu Mimi SasaView attachment 1218536
Nizione tu.Haahah kwa hiyo mkuu unatafuta picha za watu.dah
Kama mpaka saivi hujaona basi zishatoka mkuuNazionaje sasa ? Kama vipi nipe namba za post.
Haaaah Sakayo hongera ya nini sasa??Hongera mkuu
Kalumbu una kashingo amaizing[emoji12] [emoji106]Huyu Mimi SasaView attachment 1218536