Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaenda tamisemi kuomba kubadilishiwa shule/combination au kama unataka kwenda chuoKivipi?
Sasa kama shule aliyoomba ina nafasi 100 halafu waombaji mko 200Yaani ni upuuzi wa kiwango cha juu kabisa,wa kwangu chaguo la kwanza kajaza pcb lakini kapelekwa cbg,shule aliyopelekwa ndo majanga ni tofauti kabisa na shule alizochagua mwenyewe tulizojaza ktk selform.
Yaani hiyo selform haina faida yoyote.
Kama shule aliyochaguliwa Cbg ipo ni rahisi tu chap anabadilisha akisharipoti kama haina fanya umuhamishe kabla ya kuripoti.Binti angu machaguo yote alijaza CBG
chakushangaza amechaguliwa HGL kombi ambayo hakuchagua kabisa wala kuijaza
sasa nini maana ya kujaza selfom?
Ulimchagulia CBG ili badae aje awe nani?!mimi nilijaza mwenyewe selfom kupitia nikamchakulia CBG zote machaguo matano sasa nashangaa majibu yanatoka HGK
IpoKama shule aliyochaguliwa Cbg ipo ni rahisi tu chap anabadilisha akisharipoti kama haina fanya umuhamishe kabla ya kuripoti.
Kwani akifika shule hawez kubadili comb?Upuuzi mtupu,, kupotezeana muda tu mi mdogowangu aliweka zote PCB wamemchagua PCM
wanachagua kwa ushindani uwenda hakuwa na ufaul wa kutosha ku winn compitation iliyo kuepo kwenye combi au shule husika aijialishi uchague combination gani, nafasi utapewa kwa ushindani ndivo ilivo, kwaiyo tamisemi na selform zao wapo sawa kabisa chance ya uhuru wa kielim inaazingatiwaBinti angu machaguo yote alijaza CBG
chakushangaza amechaguliwa HGL kombi ambayo hakuchagua kabisa wala kuijaza
sasa nini maana ya kujaza selfom?
ina faida sana una enda wrong sana!Yaani ni upuuzi wa kiwango cha juu kabisa,wa kwangu chaguo la kwanza kajaza pcb lakini kapelekwa cbg,shule aliyopelekwa ndo majanga ni tofauti kabisa na shule alizochagua mwenyewe tulizojaza ktk selform.
Yaani hiyo selform haina faida yoyote.
Taratibu za kumuhamisha mwanafunzi ni zipi?Kama shule aliyochaguliwa Cbg ipo ni rahisi tu chap anabadilisha akisharipoti kama haina fanya umuhamishe kabla ya kuripoti.
So, niende Tamisemi mkuu?Unaenda tamisemi kuomba kubadilishiwa shule/combination au kama unataka kwenda chuo
Hata mkoani tuSo, niende Tamisemi mkuu?
"Mkoani" kwenye shule anayotaka kuhamia mwanafunzi?Hata mkoani tu
Jamani plss toa majibu na wengine tufaidikeHata mkoani tu
Unaenda ofisi ya elimu mkoa unaomba kubadilishiwa shule au combinationJamani plss toa majibu na wengine tufaidike
Vipi mtu mwenye C zote si anaweza kusoma comb yyte anayoitaka?Unaenda ofisi ya elimu mkoa unaomba kubadilishiwa shule au combination
Au TAMISEMI Dodoma
Vile vile kubadili combination hata shuleni inawezekana ili mradi ana point za kusoma hiyo combination
Kwahyo kutoka chuo kwenda shule pia afanye hvyohvyoUnaenda ofisi ya elimu mkoa unaomba kubadilishiwa shule au combination
Au TAMISEMI Dodoma
Vile vile kubadili combination hata shuleni inawezekana ili mradi ana point za kusoma hiyo combination
ni nini?